Home ๐ŸŽฌ Bollywood ๐ŸŽต Pakistani ๐ŸŽค English Pop

Mbosso - Limevuja (Official Audio)

๐Ÿ‘ค Mbosso โ€ข ๐ŸŽผ Mbosso Videos โ€ข โฑ๏ธ 3:28
๐ŸŽต 1046 characters
โฑ๏ธ 3:28 duration
๐Ÿ†” ID: 10119374

๐Ÿ“œ Lyrics

Oooh, oooh maya aah
(Nusder)

Si umesema mi baniani mbaya
Na uwepo wangu kwako sio dawa, haya aah
Penzi nikashona tenzi na riwaya
Kwenye moyo wako livae liwe sawa, limepwaya

Napuliza majivu maana moto siuoni
Kooni maumivu vumbi larudi machoni
Ahadi za mbivu zimebaki ndotoni
Lile penzi tulivu leo lipo kikaangoni

Imeniponza huruma kirungi
Kujitisha kumsaidia
Kumbe katoboa mtungi
Maji yananimwagikia

Penzi limevuja tena
Penzi limevuja tena
Penzi limevuja tena
Penzi limevuja tena aah

Ulisema sikiwambaza
Penzi letu ukuta wa chuma
Nikitoka kiwalaza
Utanistiri nywele za nyuma

Mara kwa mara ulilia
Kifuani umenilalia
Ukijuta unayachukia
Yale ulopitia

Eti kama mimi hujaona
Wa kufanana naye
Asa mbona hukusema
Kama ushakutana naye

Napuliza majivu maana moto siuoni
Kooni maumivu vumbi larudi machoni
Ahadi za mbivu zimebaki ndotoni
Lile penzi tulivu leo lipo kikaangoni

Imeniponza huruma kirungi
Kujitisha kumsaidia
Kumbe katoboa mtungi
Maji yananimwagikia

Penzi limevuja tena
Penzi limevuja tena
Penzi limevuja tena
Penzi limevuja tena aah

โฑ๏ธ Synced Lyrics

[00:11.76] Oooh, oooh maya aah
[00:16.00] (Nusder)
[00:18.49] Si umesema mi baniani mbaya
[00:20.95] Na uwepo wangu kwako sio dawa, haya aah
[00:26.98] Penzi nikashona tenzi na riwaya
[00:30.29] Kwenye moyo wako livae liwe sawa, limepwaya
[00:36.75] Napuliza majivu maana moto siuoni
[00:41.74] Kooni maumivu vumbi larudi machoni
[00:45.84] Ahadi za mbivu zimebaki ndotoni
[00:50.54] Lile penzi tulivu leo lipo kikaangoni
[00:55.64] Imeniponza huruma kirungi
[00:57.88] Kujitisha kumsaidia
[01:00.04] Kumbe katoboa mtungi
[01:02.41] Maji yananimwagikia
[01:04.97] Penzi limevuja tena
[01:09.22] Penzi limevuja tena
[01:13.92] Penzi limevuja tena
[01:19.04] Penzi limevuja tena aah
[01:22.53]
[01:32.36] Ulisema sikiwambaza
[01:34.97] Penzi letu ukuta wa chuma
[01:37.09] Nikitoka kiwalaza
[01:39.78] Utanistiri nywele za nyuma
[01:41.52] Mara kwa mara ulilia
[01:43.72] Kifuani umenilalia
[01:45.98] Ukijuta unayachukia
[01:49.18] Yale ulopitia
[01:51.00] Eti kama mimi hujaona
[01:53.30] Wa kufanana naye
[01:55.76] Asa mbona hukusema
[01:58.13] Kama ushakutana naye
[02:00.16] Napuliza majivu maana moto siuoni
[02:04.52] Kooni maumivu vumbi larudi machoni
[02:08.55] Ahadi za mbivu zimebaki ndotoni
[02:14.05] Lile penzi tulivu leo lipo kikaangoni
[02:18.88] Imeniponza huruma kirungi
[02:21.17] Kujitisha kumsaidia
[02:23.36] Kumbe katoboa mtungi
[02:25.78] Maji yananimwagikia
[02:27.96] Penzi limevuja tena
[02:32.72] Penzi limevuja tena
[02:37.11] Penzi limevuja tena
[02:41.76] Penzi limevuja tena aah
[02:43.97]

โญ Rate These Lyrics

โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†
Average: 0.0/5 โ€ข 0 ratings