Home ๐ŸŽฌ Bollywood ๐ŸŽต Pakistani ๐ŸŽค English Pop

Yataniua (feat. Diamond Platnumz)

๐Ÿ‘ค Mbosso โ€ข ๐ŸŽผ Mbosso Videos โ€ข โฑ๏ธ 3:30
๐ŸŽต 1742 characters
โฑ๏ธ 3:30 duration
๐Ÿ†” ID: 10149433

๐Ÿ“œ Lyrics

(Ni nini hiki mbona chanizuzua?)
(Nini hiki mbona chanisumbua?)
(Nakaribia kuzalilika) (S2kizzy baby)
(Nakaribia kuzalilika)

Aliyeumba mapenzi hakusema yana maumivu
Aliyeumba mapenzi hakusema unaua wivu
Gharama, mapenzi gharama
Utachukia ndugu, marafiki, ugomvi na mama
Gharama, mapenzi gharama
Na ni donda sugu halitibiki ukishazama

Unamuamini na kudhani ndugu yako
Kumbe kijini, ndio baby wa baby wako

Mapenzi yataniua
Bora nitafute pesa nianze jishaua (niwe happy now)
Mi' mahaba yataniua (yata ni-kill)
Bora nitafute pesa nianze jishaua
Nikizipata ni

Mitungi, mitungi, mitungi, mitungi
Mitungi, mitungi, mitungi, mitu-tu
Mitungi, mitungi, mitungi, mitungi
Mitungi, mitungi, mitungi, mitungi

Na watakoma aisee, hili party
Nyama choma ashe, aje?
Muziki mangoma aje? Vya Arusha nivichomaje, aje?
Watakoma aisee, hili party
Nyama choma ashe, aje?
Muziki magoma aje? Vya Arusha nitavi-shh
Nipite na kila mtu

Hadi we, hadi we
Hadi we, hadi wewe
Hadi we, hadi we
Hadi we, hadi wewe (eh)

Ka' kupenda (aku), kampende baba 'ako (ah baba 'ako)
Si' unampenda? Kampende dada 'ako (ah dada 'ako)
Ka' kupenda, kampende baba 'ako (ah baba 'ako)
Si' unampenda? Kampende kaka 'ako (ah kaka 'ako)

Mapenzi yataniua (yata ni-kill)
Bora nitafute pesa nianze jishaua (niwe happy now)
Mi' mahaba yataniua (yata ni-kill)
Bora nitafute pesa nianze jishaua
Nikizipata ni

Mitungi, mitungi, mitungi, mitungi
Mitungi, mitungi, mitungi, mitu-tu
Mitungi, mitungi, mitungi, mitungi
Mitungi, mitungi, mitungi, mitungi

(Gharama, mapenzi gharama)
(Utachukia ndugu, marafiki, ugomvi na mama)
(Gharama, mapenzi gharama)
(Na ni donda sugu halitibiki ukishazama)
Nipite na kila mtu

Hadi we, hadi we
Hadi we, hadi wewe
Hadi we, hadi we
Hadi we, hadi wewe (Kamix lizer)

โฑ๏ธ Synced Lyrics

[00:17.99] (Ni nini hiki mbona chanizuzua?)
[00:22.04] (Nini hiki mbona chanisumbua?)
[00:26.59] (Nakaribia kuzalilika) (S2kizzy baby)
[00:30.77] (Nakaribia kuzalilika)
[00:34.58] Aliyeumba mapenzi hakusema yana maumivu
[00:38.59] Aliyeumba mapenzi hakusema unaua wivu
[00:43.10] Gharama, mapenzi gharama
[00:46.83] Utachukia ndugu, marafiki, ugomvi na mama
[00:51.77] Gharama, mapenzi gharama
[00:55.36] Na ni donda sugu halitibiki ukishazama
[01:00.26] Unamuamini na kudhani ndugu yako
[01:04.21] Kumbe kijini, ndio baby wa baby wako
[01:08.14] Mapenzi yataniua
[01:12.32] Bora nitafute pesa nianze jishaua (niwe happy now)
[01:16.57] Mi' mahaba yataniua (yata ni-kill)
[01:21.01] Bora nitafute pesa nianze jishaua
[01:23.85] Nikizipata ni
[01:25.68] Mitungi, mitungi, mitungi, mitungi
[01:29.83] Mitungi, mitungi, mitungi, mitu-tu
[01:33.99] Mitungi, mitungi, mitungi, mitungi
[01:38.35] Mitungi, mitungi, mitungi, mitungi
[01:42.46] Na watakoma aisee, hili party
[01:44.71] Nyama choma ashe, aje?
[01:46.68] Muziki mangoma aje? Vya Arusha nivichomaje, aje?
[01:51.07] Watakoma aisee, hili party
[01:53.19] Nyama choma ashe, aje?
[01:55.01] Muziki magoma aje? Vya Arusha nitavi-shh
[01:58.50] Nipite na kila mtu
[01:59.62] Hadi we, hadi we
[02:01.89] Hadi we, hadi wewe
[02:04.06] Hadi we, hadi we
[02:05.92] Hadi we, hadi wewe (eh)
[02:08.83] Ka' kupenda (aku), kampende baba 'ako (ah baba 'ako)
[02:13.05] Si' unampenda? Kampende dada 'ako (ah dada 'ako)
[02:17.20] Ka' kupenda, kampende baba 'ako (ah baba 'ako)
[02:21.61] Si' unampenda? Kampende kaka 'ako (ah kaka 'ako)
[02:25.34] Mapenzi yataniua (yata ni-kill)
[02:29.61] Bora nitafute pesa nianze jishaua (niwe happy now)
[02:33.64] Mi' mahaba yataniua (yata ni-kill)
[02:38.22] Bora nitafute pesa nianze jishaua
[02:41.17] Nikizipata ni
[02:42.41] Mitungi, mitungi, mitungi, mitungi
[02:46.63] Mitungi, mitungi, mitungi, mitu-tu
[02:50.72] Mitungi, mitungi, mitungi, mitungi
[02:54.83] Mitungi, mitungi, mitungi, mitungi
[02:59.41] (Gharama, mapenzi gharama)
[03:04.14] (Utachukia ndugu, marafiki, ugomvi na mama)
[03:08.88] (Gharama, mapenzi gharama)
[03:12.40] (Na ni donda sugu halitibiki ukishazama)
[03:15.48] Nipite na kila mtu
[03:16.98] Hadi we, hadi we
[03:18.85] Hadi we, hadi wewe
[03:21.04] Hadi we, hadi we
[03:23.29] Hadi we, hadi wewe (Kamix lizer)
[03:27.16]

โญ Rate These Lyrics

โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†
Average: 0.0/5 โ€ข 0 ratings