Seya
๐ต 1609 characters
โฑ๏ธ 6:06 duration
๐ ID: 10279381
๐ Lyrics
Leo nataka nitoke na mpenzi wangu Seya
Ujue Seya nakupendaga sana
Seya wa mi valo
Seya wa mi valo
Seya niko wako
Wa kufa na kupona
Seya tutoke wote
Waseme niko wako
Seya wa mi valo
Seya wa mi valo(mama)
Seya Seya
Seya wa mi valo
Seya wa mi valo
Seya niko wako
Wa kufa na kupona
Seya tutoke wote
Waseme niko wako
Seya wa mi valo
Seya wa mi valo(mama)
Seya Seya
Seya wa mi valo ooh ooh ooh Seya
Seya vaa vizuri
Tutoke mama
Wenye kusemasema ooh ooh ooh Seya
Wabaki vinywa wazi mpenzi wangu Seya
Hata mvua ikinyesha ooh ooh ooh Seya
Lazima tutoke leo mpenzi wangu Seya
Tuonyeshe mapenzi yetu ya ukweli Seya
Wale wabaya wetu eeh
Wabaki na aibu
Seya wa mi valo(mama yoo yoo)
Seya wa mi valo(mpenzi wangu Seya)
Seya niko wako(niko wako Seya)
Wa kufa na kupona(iih iih leh leh)
Seya tutoke wote(mpenzi wangu Seya)
Waseme niko wako(Seya Seya)
Seya wa mi valo (mpenzi wangu Seya)
Seya wa mi valo (mama Seya Seya)
Seya wa mi valo (mpenzi wangu Seya)
Seya wa mi valo (mpenzi wangu Seya)
Seya niko wako (mama ya bana nanga)
Wa kufa na kupona (njoo kwangu mpenzi)
Seya tutoke wote (ooh mwenzio nateseka)
Waseme niko wako (mama yee eeh)
Seya wa mi valo
Seya wa mi valo (mama Seya Seya)
Vaa vizuri mpenzi wangu upendeze
Donge liwashike
Mabusu motomoto
Mimi na wewe mpaka kufa eh mama eh
Usiwasikilize hao wanaotaka kutuharibia penzi eh
Baba na mwana
Baba na mwana tunaimba na kucheza eh
Baba na mwana(Mavizar Jonzavike)
Baba na mwana(Papii sound)
Baba na mwana tunaimba na kucheza eh
Baba na mwana
Baba na mwana tunaimba na kucheza eh
Baba na mwana
Baba na mwana
Baba na mwana tunaimba na kucheza eh
Baba na mwana
End
Ujue Seya nakupendaga sana
Seya wa mi valo
Seya wa mi valo
Seya niko wako
Wa kufa na kupona
Seya tutoke wote
Waseme niko wako
Seya wa mi valo
Seya wa mi valo(mama)
Seya Seya
Seya wa mi valo
Seya wa mi valo
Seya niko wako
Wa kufa na kupona
Seya tutoke wote
Waseme niko wako
Seya wa mi valo
Seya wa mi valo(mama)
Seya Seya
Seya wa mi valo ooh ooh ooh Seya
Seya vaa vizuri
Tutoke mama
Wenye kusemasema ooh ooh ooh Seya
Wabaki vinywa wazi mpenzi wangu Seya
Hata mvua ikinyesha ooh ooh ooh Seya
Lazima tutoke leo mpenzi wangu Seya
Tuonyeshe mapenzi yetu ya ukweli Seya
Wale wabaya wetu eeh
Wabaki na aibu
Seya wa mi valo(mama yoo yoo)
Seya wa mi valo(mpenzi wangu Seya)
Seya niko wako(niko wako Seya)
Wa kufa na kupona(iih iih leh leh)
Seya tutoke wote(mpenzi wangu Seya)
Waseme niko wako(Seya Seya)
Seya wa mi valo (mpenzi wangu Seya)
Seya wa mi valo (mama Seya Seya)
Seya wa mi valo (mpenzi wangu Seya)
Seya wa mi valo (mpenzi wangu Seya)
Seya niko wako (mama ya bana nanga)
Wa kufa na kupona (njoo kwangu mpenzi)
Seya tutoke wote (ooh mwenzio nateseka)
Waseme niko wako (mama yee eeh)
Seya wa mi valo
Seya wa mi valo (mama Seya Seya)
Vaa vizuri mpenzi wangu upendeze
Donge liwashike
Mabusu motomoto
Mimi na wewe mpaka kufa eh mama eh
Usiwasikilize hao wanaotaka kutuharibia penzi eh
Baba na mwana
Baba na mwana tunaimba na kucheza eh
Baba na mwana(Mavizar Jonzavike)
Baba na mwana(Papii sound)
Baba na mwana tunaimba na kucheza eh
Baba na mwana
Baba na mwana tunaimba na kucheza eh
Baba na mwana
Baba na mwana
Baba na mwana tunaimba na kucheza eh
Baba na mwana
End