Home ๐ŸŽฌ Bollywood ๐ŸŽต Pakistani ๐ŸŽค English Pop

Kisiwa Cha Malovedavi

๐Ÿ‘ค Z Anto โ€ข ๐ŸŽผ Kisiwa Cha Malovedavi โ€ข โฑ๏ธ 3:37
๐ŸŽต 1469 characters
โฑ๏ธ 3:37 duration
๐Ÿ†” ID: 10496066

๐Ÿ“œ Lyrics

Kwa kweli nilikuwa napenda sana
Mechi za nje za ujana
Aliyekuwa mke wangu
Analia aah

Kwa kweli nilikuwa napenda sana vibinti
Nakuwahonga mpaka magari
Waliyekuwa watoto wangu
Wanateseka na njaa

Mitungi kila saa
Nyumbani sina time ya kukaa
Marafiki nami
Night club na mimi

Sasa nimebaki lonely
Track redioni hazichezwi
Yaani pesa hakuna, marafiki hakuna
Hata bebi hunitaki tena

Sasa nimebaki lonely
Track redioni hazichezwi
Yaani pesa hakuna, marafiki hakuna
Hata bebi hunitaki tena

Nakupenda aiyaa
Nakupenda sana bebi
Nakuhitaji mama mama
Njoo kisiwa cha malavidavi

Nilikutenda aiyaa
Nisamehe my baby
Nakuhitaji mama mama
Njoo kisiwa cha malavidavi

Sielewi tena nisikize ma
Kwani najua pombe ndiyo chanzo ah
Kilichofanya nikutende dharau kibao
Ndani ya nyumba hakuna raha

Na kwangu ulikuwa dhaifu nisikize ma
Kwani najua kweli ulinipenda ah
Watoto wangu niliwatenga
Nisamehe mpenzi we unasema

Sitaki rudia tena
Najuta kwa yote niliyofanya
Nisamehe na goti napiga, nalia ahh

Sasa nimebaki lonely
Track redioni hazichezwi
Yaani pesa hakuna marafiki hakuna
Hata bebi hunitaki tena

Sasa nimebaki lonely
Track redioni hazichezwi
Yaani pesa hakuna marafiki hakuna
Hata bebi hunitaki tena

Nakupenda aiyaa
Nakupenda sana bebi
Nakuhitaji mama mama
Njoo kisiwa cha malavidavi

Nilikutenda aiyaa
Nisamehe my baby
Nakuhitaji mama mama
Njoo kisiwa cha malavidavi

Uje kwenye kisiwa cha malavidavi
Uje tupeane mapenzi
Usisahau na wanangu
Sahau yaliyopita na tugange yajayo

โฑ๏ธ Synced Lyrics

[00:09.54] Kwa kweli nilikuwa napenda sana
[00:13.00] Mechi za nje za ujana
[00:15.76] Aliyekuwa mke wangu
[00:18.41] Analia aah
[00:20.77] Kwa kweli nilikuwa napenda sana vibinti
[00:23.53] nakuwahonga mpaka magari
[00:26.08] Waliyekuwa watoto wangu
[00:28.61] Wanateseka na njaa
[00:30.94] Mitungi kila saa
[00:33.22] Nyumbani sina time ya kukaa
[00:36.11] Marafiki nami
[00:38.66] Night club na mimi
[00:41.26] Sasa nimebaki lonely
[00:43.55] Track redioni hazichezwi
[00:46.21] Yaani pesa hakuna, marafiki hakuna
[00:49.27] Hata bebi hunitaki tena
[00:51.52] Sasa nimebaki lonely
[00:53.89] Track redioni hazichezwi
[00:56.53] Yaani pesa hakuna, marafiki hakuna
[00:59.32] Hata bebi hunitaki tena
[01:01.77] Nakupenda aiyaa
[01:04.09] Nakupenda sana bebi
[01:07.00] Nakuhitaji mama mama
[01:09.21] Njoo kisiwa cha malavidavi
[01:11.82] Nilikutenda aiyaa
[01:13.92] Nisamehe my baby
[01:17.10] Nakuhitaji mama mama
[01:19.49] Njoo kisiwa cha malavidavi
[01:22.36] Sielewi tena nisikize ma
[01:24.76] Kwani najua pombe ndiyo chanzo ah
[01:27.24] Kilichofanya nikutende dharau kibao
[01:29.91] Ndani ya nyumba hakuna raha
[01:32.37] Na kwangu ulikuwa dhaifu nisikize ma
[01:34.71] Kwani najua kweli ulinipenda ah
[01:37.42] Watoto wangu niliwatenga
[01:39.24] Nisamehe mpenzi we unasema
[01:42.34] Sitaki rudia tena
[01:45.21] Najuta kwa yote niliyofanya
[01:47.75] Nisamehe na goti napiga, nalia ahh
[01:52.68] Sasa nimebaki lonely
[01:55.43] Track redioni hazichezwi
[01:58.26] Yaani pesa hakuna marafiki hakuna
[02:00.65] Hata bebi hunitaki tena
[02:02.79] Sasa nimebaki lonely
[02:05.32] Track redioni hazichezwi
[02:08.17] Yaani pesa hakuna marafiki hakuna
[02:11.07] Hata bebi hunitaki tena
[02:13.35] Nakupenda aiyaa
[02:15.36] Nakupenda sana bebi
[02:18.90] Nakuhitaji mama mama
[02:20.48] Njoo kisiwa cha malavidavi
[02:23.13] Nilikutenda aiyaa
[02:25.60] Nisamehe my baby
[02:28.18] Nakuhitaji mama mama
[02:30.45] Njoo kisiwa cha malavidavi
[02:34.02] Uje kwenye kisiwa cha malavidavi
[02:38.20] Uje tupeane mapenzi
[02:43.45] Usisahau na wanangu
[02:47.01] Sahau yaliyopita na tugange yajayo
[02:47.07]

โญ Rate These Lyrics

โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†
Average: 0.0/5 โ€ข 0 ratings