Home ๐ŸŽฌ Bollywood ๐ŸŽต Pakistani ๐ŸŽค English Pop

paul-clement-mwaminifu

๐Ÿ‘ค mzigotv.com โ€ข ๐ŸŽผ mzigotv.com โ€ข โฑ๏ธ 5:11
๐ŸŽต 613 characters
โฑ๏ธ 5:11 duration
๐Ÿ†” ID: 10504662

๐Ÿ“œ Lyrics

Difficult but not impossible

Una wasiwasi, hofu na na mashaka
Unahisi moyoni, kama Mungu kakuacha
Maana unaona hausongei,
Wala huendelei
Uko pale pale, kila siku
Uko vile vile ()

Mungu aliyeanzisha safari, tena ataimaliza
Na ahadi zote alizosema, yeye atazitimiza
Maana alikujua, kabla hujajijua, kabla hujazaliwa

Mungu hawezi kukuacha njiani,
Safari yako, alianzisha mwenyewe,
Asingetaka angekuacha mwanzoni,
Unakokwenda yeye anajua ()

Heh, anajuaaaaaaaa,
Ulikotoka, unakokwendaaa,
Anajuaaaaa
Yeeeee heeeee
Atainyosha (Atainyosha njia yako) ()
Ina mabonde, (kweli)
iIna vikwazo (vingi)
Atainyosha (njia yako)

โญ Rate These Lyrics

โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†
Average: 0.0/5 โ€ข 0 ratings