Mchuchu (feat. Alikiba)
๐ต 862 characters
โฑ๏ธ 2:48 duration
๐ ID: 11152178
๐ Lyrics
Yeah
Mocco
Mimi nimekuona wewe
Katika mamia ya wengine
Mi wa kwako wewe
Hakika sina mwingine
Wa maisha yangu, wa maisha yangu
Wa maisha yangu, wa maisha yangu
Mbona hata mama aliniambia
Kila kitu changu cha kwako wewe cha kwako
Ndo maana nakupa mchuchu moyo wangu wote
Nakupa mchuchu moyo wangu wote
Nakupa mchuchu moyo wangu wote
Nakupa mchuchu moyo wangu wote
Yeah, hii tamu bwana
Busu tu nazima
Mahaba yako mazito ukiyapima
Uwezo sina ningekuhonga madinar
Na kwa hii dunia iitwe kwa lako jina
Ooh nilikwambiaga ulinipende mimi tu
Mapenzi ya kumwaga, oh
Wa maisha yangu, wa maisha yangu
Wa maisha yangu, wa maisha yangu
Mbona hata mama aliniambia
Kila kitu changu cha kwako wewe cha kwako
Ndo maana nakupa mchuchu moyo wangu wote
Nakupa mchuchu moyo wangu wote
Nakupa mchuchu moyo wangu wote
Nakupa mchuchu moyo wangu wote
Halo, uuh-uuh
Hii tamu bwana
Oh, yeah
Mocco
Mimi nimekuona wewe
Katika mamia ya wengine
Mi wa kwako wewe
Hakika sina mwingine
Wa maisha yangu, wa maisha yangu
Wa maisha yangu, wa maisha yangu
Mbona hata mama aliniambia
Kila kitu changu cha kwako wewe cha kwako
Ndo maana nakupa mchuchu moyo wangu wote
Nakupa mchuchu moyo wangu wote
Nakupa mchuchu moyo wangu wote
Nakupa mchuchu moyo wangu wote
Yeah, hii tamu bwana
Busu tu nazima
Mahaba yako mazito ukiyapima
Uwezo sina ningekuhonga madinar
Na kwa hii dunia iitwe kwa lako jina
Ooh nilikwambiaga ulinipende mimi tu
Mapenzi ya kumwaga, oh
Wa maisha yangu, wa maisha yangu
Wa maisha yangu, wa maisha yangu
Mbona hata mama aliniambia
Kila kitu changu cha kwako wewe cha kwako
Ndo maana nakupa mchuchu moyo wangu wote
Nakupa mchuchu moyo wangu wote
Nakupa mchuchu moyo wangu wote
Nakupa mchuchu moyo wangu wote
Halo, uuh-uuh
Hii tamu bwana
Oh, yeah