Upendo
๐ต 2067 characters
โฑ๏ธ 4:51 duration
๐ ID: 11474845
๐ Lyrics
Mbona chuki kati ya waumini, wapi upendo upendo ule wa kwanza
Kwa nini sasa tuwe na utengano, ikiwa tumeokolewa kwa neema
Tutaketi japa moja na Mungu, aliye mtoa mwana wake wa pekee
Wapenzi ninawasihi tupendane ikiwa tu watoto wa Mungu
Mbona chuki kati ya waumini, wapi upendo upendo ule wa kwanza
Kwa nini sasa tuwe na utengano, ikiwa tumeokolewa kwa neema
Tutaketi japa moja na Mungu, aliye mtoa mwana wake wa pekee
Wapenzi ninawasihi tupendane ikiwa tu watoto wa Mungu
Upendo huvumilia haujivunii, haukosi kuwa na adabu
Hautafuti mambo yake kamwe, tena hufurahii udhalimu
Ikiwa tuna upendo tu wake Mungu, wapenzi tutafte upendo
Upendo huvumilia haujivunii, haukosi kuwa na adabu
Hautafuti mambo yake kamwe, tena hufurahii udhalimu
Ikiwa tuna upendo tu wake Mungu, wapenzi tutafte upendo
Eeh Mungu wewe ni nguvu yetu ilete baraka kwetu sisi wana wako
Haki yako iwe ni nguvu yetu, uwe faraja yetu hata kwa machungu
Upendo na amani tujazie, undugu uzidi uhasama na kisasi
Mbona majirani tunapigana tufunze upendo tukakumbatiane
Eeh Mungu wewe ni nguvu yetu ilete baraka kwetu sisi wana wako
Haki yako iwe ni nguvu yetu, uwe faraja yetu hata kwa machungu
Upendo na amani tujazie, undugu uzidi uhasama na kisasi
Mbona majirani tunapigana tufunze upendo tukakumbatiane
Upendo huvumilia haujivunii, haukosi kuwa na adabu
Hautafuti mambo yake kamwe, tena hufurahii udhalimu
Ikiwa tuna upendo tu wake Mungu, wapenzi tutafte upendo
Upendo huvumilia haujivunii, haukosi kuwa na adabu
Hautafuti mambo yake kamwe, tena hufurahii udhalimu
Ikiwa tuna upendo tu wake Mungu, wapenzi tutafte upendo
Upendo huvumilia haujivunii, haukosi kuwa na adabu
Hautafuti mambo yake kamwe, tena hufurahii udhalimu
Ikiwa tuna upendo tu wake Mungu, wapenzi tutafte upendo
Upendo huvumilia haujivunii, haukosi kuwa na adabu
Hautafuti mambo yake kamwe, tena hufurahii udhalimu
Ikiwa tuna upendo tu wake Mungu, wapenzi tutafte upendo
Upendo huvumilia haujivunii, haukosi kuwa na adabu
Hautafuti mambo yake kamwe, tena hufurahii udhalimu
Ikiwa tuna upendo tu wake Mungu, wapenzi tutafte upendo wQa
Kwa nini sasa tuwe na utengano, ikiwa tumeokolewa kwa neema
Tutaketi japa moja na Mungu, aliye mtoa mwana wake wa pekee
Wapenzi ninawasihi tupendane ikiwa tu watoto wa Mungu
Mbona chuki kati ya waumini, wapi upendo upendo ule wa kwanza
Kwa nini sasa tuwe na utengano, ikiwa tumeokolewa kwa neema
Tutaketi japa moja na Mungu, aliye mtoa mwana wake wa pekee
Wapenzi ninawasihi tupendane ikiwa tu watoto wa Mungu
Upendo huvumilia haujivunii, haukosi kuwa na adabu
Hautafuti mambo yake kamwe, tena hufurahii udhalimu
Ikiwa tuna upendo tu wake Mungu, wapenzi tutafte upendo
Upendo huvumilia haujivunii, haukosi kuwa na adabu
Hautafuti mambo yake kamwe, tena hufurahii udhalimu
Ikiwa tuna upendo tu wake Mungu, wapenzi tutafte upendo
Eeh Mungu wewe ni nguvu yetu ilete baraka kwetu sisi wana wako
Haki yako iwe ni nguvu yetu, uwe faraja yetu hata kwa machungu
Upendo na amani tujazie, undugu uzidi uhasama na kisasi
Mbona majirani tunapigana tufunze upendo tukakumbatiane
Eeh Mungu wewe ni nguvu yetu ilete baraka kwetu sisi wana wako
Haki yako iwe ni nguvu yetu, uwe faraja yetu hata kwa machungu
Upendo na amani tujazie, undugu uzidi uhasama na kisasi
Mbona majirani tunapigana tufunze upendo tukakumbatiane
Upendo huvumilia haujivunii, haukosi kuwa na adabu
Hautafuti mambo yake kamwe, tena hufurahii udhalimu
Ikiwa tuna upendo tu wake Mungu, wapenzi tutafte upendo
Upendo huvumilia haujivunii, haukosi kuwa na adabu
Hautafuti mambo yake kamwe, tena hufurahii udhalimu
Ikiwa tuna upendo tu wake Mungu, wapenzi tutafte upendo
Upendo huvumilia haujivunii, haukosi kuwa na adabu
Hautafuti mambo yake kamwe, tena hufurahii udhalimu
Ikiwa tuna upendo tu wake Mungu, wapenzi tutafte upendo
Upendo huvumilia haujivunii, haukosi kuwa na adabu
Hautafuti mambo yake kamwe, tena hufurahii udhalimu
Ikiwa tuna upendo tu wake Mungu, wapenzi tutafte upendo
Upendo huvumilia haujivunii, haukosi kuwa na adabu
Hautafuti mambo yake kamwe, tena hufurahii udhalimu
Ikiwa tuna upendo tu wake Mungu, wapenzi tutafte upendo wQa