Home ๐ŸŽฌ Bollywood ๐ŸŽต Pakistani ๐ŸŽค English Pop

Buruda

๐Ÿ‘ค Jaivah โ€ข ๐ŸŽผ Buruda โ€ข โฑ๏ธ 3:45
๐ŸŽต 2171 characters
โฑ๏ธ 3:45 duration
๐Ÿ†” ID: 11610034

๐Ÿ“œ Lyrics

Mm, Bad
Aweh
Igama lami ngu-Jaivah wena
Aweh, aweh
Aweh
Jaivah

Hule mtoto kaniona 'kati nimependeza
Kaona dorime hiyo mitungi juu ya meza
Ananiangalia huku macho analegeza
Nami nampimia, akijitusu natembeza
Hule mtoto kaniona 'kati nimependeza
Kaona dorime hiyo mitungi juu ya meza
Ananiangalia huku macho analegeza
Nami nampimia, akijitusu natembeza

Nikamwambia hapa mitungi buruda
Washa hata kitu buruda
Na kama sio kesi, na kama upo freshi
Hapa hata mikasi buruda
Nikamwambia hapa mitungi buruda
Washa hata kitu buruda
Na kama sio kesi, na kama upo freshi
Hapa hata mikasi buruda

Akaniuliza, nani jina lako?
Igama lami ngu-Jaivah
Igama lami ngu-Coach
Igama lami ngu-Striker
Akaniuliza, ubani igama lakho?
Igama lami ngu-Jaivah
Igama lami ngu-Coach
Igama lami ngu-Striker

Si mtoto alivyoona venye nimepoa (alivyoona venye nimepoa)
Ye' akanichukulia poa (ye' akanichulia poa)
Na mwanenu n'navyojua kukomoa (na mwanenu n'navyojua kukomoa)
N'nakuwaga kama natafuta ndoa (n'nakuwaga kama natafuta ndoa)

Nauliza niendelee, niache?
(Kwanini uache? Kama umelianzisha twende mpaka asubuhi)
Nauliza niendelee, niache?
(Kwanini uache? Kama umelianzisha twende mpaka asubuhi) hallo

Limenibana kojo, kojo, kojo
(Kojo, kojo, kojo)
Kojo, kojo, kojo
(Kojo, kojo, kojo)

Nimelewa, sioni mbele, sioni nyuma
Sioni juu, sioni chini, tundu liko wapi? (La choo)
Ah, sioni mundu, sioni kijema
Kwani njia iko wapi? (Ya chooni)
Ah, kama nawakwaza semeni (hautukwazi, tajiri)
Kama nawaboa semeni (hautuboi, tajiri)
Kama nina gubu semeni (hauna gubu, tajiri)
Kama ninabaya semeni (hauna baya, tajiri)

Sheh, leo DJ nani? Chapa ngoma ya Zuchu (Honey)
Anapiga nani? Hebu ngoja nipokee
Hallo (hey baby, please! Come back home please! I need you now)
Kumbe shemeji lenu anataka nirudi home, au ninyi munasemaje?

Nauliza niendelee, niache?
(Kwanini uache? Kama umelianzisha twende mpaka asubuhi)
Nauliza niendelee, niache?
(Kwanini uache? Kama umelianzisha twende mpaka asubuhi)

Nauliza niendelee, niache?
(Kwanini uache? Kama umelianzisha twende mpaka asubuhi)
Nauliza niendelee, niache?
(Kwanini uache? Kama umelianzisha twende mpaka asubuhi)

Limenibana kojo, kojo, kojo
(Kojo, kojo, kojo)

โฑ๏ธ Synced Lyrics

[00:09.17] Mm, Bad
[00:12.50]
[00:29.62] Aweh
[00:32.82] Igama lami ngu-Jaivah wena
[00:35.58] Aweh, aweh
[00:42.36] Aweh
[00:45.85] Jaivah
[00:46.67] Hule mtoto kaniona 'kati nimependeza
[00:48.61] Kaona dorime hiyo mitungi juu ya meza
[00:50.77] Ananiangalia huku macho analegeza
[00:52.99] Nami nampimia, akijitusu natembeza
[00:55.06] Hule mtoto kaniona 'kati nimependeza
[00:57.25] Kaona dorime hiyo mitungi juu ya meza
[00:59.33] Ananiangalia huku macho analegeza
[01:01.55] Nami nampimia, akijitusu natembeza
[01:03.41] Nikamwambia hapa mitungi buruda
[01:05.89] Washa hata kitu buruda
[01:08.04] Na kama sio kesi, na kama upo freshi
[01:09.99] Hapa hata mikasi buruda
[01:11.84] Nikamwambia hapa mitungi buruda
[01:14.28] Washa hata kitu buruda
[01:16.31] Na kama sio kesi, na kama upo freshi
[01:18.27] Hapa hata mikasi buruda
[01:19.95] Akaniuliza, nani jina lako?
[01:22.16] Igama lami ngu-Jaivah
[01:24.23] Igama lami ngu-Coach
[01:26.46] Igama lami ngu-Striker
[01:27.84] Akaniuliza, ubani igama lakho?
[01:30.82] Igama lami ngu-Jaivah
[01:32.95] Igama lami ngu-Coach
[01:35.10] Igama lami ngu-Striker
[01:37.60] Si mtoto alivyoona venye nimepoa (alivyoona venye nimepoa)
[01:42.52] Ye' akanichukulia poa (ye' akanichulia poa)
[01:46.63] Na mwanenu n'navyojua kukomoa (na mwanenu n'navyojua kukomoa)
[01:50.73] N'nakuwaga kama natafuta ndoa (n'nakuwaga kama natafuta ndoa)
[01:54.79] Nauliza niendelee, niache?
[01:57.48] (Kwanini uache? Kama umelianzisha twende mpaka asubuhi)
[02:03.47] Nauliza niendelee, niache?
[02:06.16] (Kwanini uache? Kama umelianzisha twende mpaka asubuhi) hallo
[02:11.20] Limenibana kojo, kojo, kojo
[02:15.04] (Kojo, kojo, kojo)
[02:17.04] Kojo, kojo, kojo
[02:19.16] (Kojo, kojo, kojo)
[02:21.19] Nimelewa, sioni mbele, sioni nyuma
[02:22.79] Sioni juu, sioni chini, tundu liko wapi? (La choo)
[02:25.41] Ah, sioni mundu, sioni kijema
[02:27.49] Kwani njia iko wapi? (Ya chooni)
[02:29.46] Ah, kama nawakwaza semeni (hautukwazi, tajiri)
[02:34.55] Kama nawaboa semeni (hautuboi, tajiri)
[02:38.60] Kama nina gubu semeni (hauna gubu, tajiri)
[02:42.99] Kama ninabaya semeni (hauna baya, tajiri)
[02:46.73] Sheh, leo DJ nani? Chapa ngoma ya Zuchu (Honey)
[02:51.41] Anapiga nani? Hebu ngoja nipokee
[02:54.97] Hallo (hey baby, please! Come back home please! I need you now)
[02:59.09] Kumbe shemeji lenu anataka nirudi home, au ninyi munasemaje?
[03:03.48] Nauliza niendelee, niache?
[03:06.19] (Kwanini uache? Kama umelianzisha twende mpaka asubuhi)
[03:11.94] Nauliza niendelee, niache?
[03:14.60] (Kwanini uache? Kama umelianzisha twende mpaka asubuhi)
[03:20.42] Nauliza niendelee, niache?
[03:23.29] (Kwanini uache? Kama umelianzisha twende mpaka asubuhi)
[03:28.91] Nauliza niendelee, niache?
[03:31.72] (Kwanini uache? Kama umelianzisha twende mpaka asubuhi)
[03:37.21] Limenibana kojo, kojo, kojo
[03:40.73] (Kojo, kojo, kojo)
[03:42.66]

โญ Rate These Lyrics

โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†
Average: 0.0/5 โ€ข 0 ratings