Whozu - Mii (Official Lyrics Video) (feat. Marioo)
๐ต 1011 characters
โฑ๏ธ 3:14 duration
๐ ID: 12022734
๐ Lyrics
(S2kizzy baby)
Ele-le-le, le
Ah, limewaka penzi letu mi amor
Mpaka sasa nimeshinda shindano
Sinyorita langu huba te amor
Shata shata nimefika kikomo, oh
Oh, halleluyah
Nampenda huyu
Napata furaha
Wa kwangu huyu
Oh, halleluyah (halleluyah)
Nampenda huyu
Napata furaha (napata furaha)
Wa kwangu huyu
Roho yangu mii
Ndo tamu yangu mii, eh
Roho yangu mii
Ndo tamu yangu mii
Roho yangu mii
Ndo tamu yangu mii, eh
(-i)
(-i)
Ah, si unajua raha ya nyama kutafuna
Sio kuonja na kutema
Usiruhusu moyo kuuchoma choma
Wakaja pata la kusema (wakaja pata la kusema)
Oh baby, oh baby, ukinimiss niite mii
Niite mii, niite mii
Me nadekeza sikaripii
Oh, halleluyah (halleluyah)
Nampenda huyu
Napata furaha
Wa kwangu huyu
Oh, halleluyah (halleluyah)
Nampenda huyu
Napata furaha (napata furaha)
Wa kwangu huyu
Roho yangu mii
Ndo tamu yangu mii, eh
Roho yangu mii
Ndo tamu yangu mii
Roho yangu mii
Ndo tamu yangu mii, eh
(-i)
(-i)
Oh, halleluyah (halleluyah)
Nampenda huyu
Napata furaha (napata furaha)
Wa kwangu huyu
(Kamix Lizer)
Ele-le-le, le
Ah, limewaka penzi letu mi amor
Mpaka sasa nimeshinda shindano
Sinyorita langu huba te amor
Shata shata nimefika kikomo, oh
Oh, halleluyah
Nampenda huyu
Napata furaha
Wa kwangu huyu
Oh, halleluyah (halleluyah)
Nampenda huyu
Napata furaha (napata furaha)
Wa kwangu huyu
Roho yangu mii
Ndo tamu yangu mii, eh
Roho yangu mii
Ndo tamu yangu mii
Roho yangu mii
Ndo tamu yangu mii, eh
(-i)
(-i)
Ah, si unajua raha ya nyama kutafuna
Sio kuonja na kutema
Usiruhusu moyo kuuchoma choma
Wakaja pata la kusema (wakaja pata la kusema)
Oh baby, oh baby, ukinimiss niite mii
Niite mii, niite mii
Me nadekeza sikaripii
Oh, halleluyah (halleluyah)
Nampenda huyu
Napata furaha
Wa kwangu huyu
Oh, halleluyah (halleluyah)
Nampenda huyu
Napata furaha (napata furaha)
Wa kwangu huyu
Roho yangu mii
Ndo tamu yangu mii, eh
Roho yangu mii
Ndo tamu yangu mii
Roho yangu mii
Ndo tamu yangu mii, eh
(-i)
(-i)
Oh, halleluyah (halleluyah)
Nampenda huyu
Napata furaha (napata furaha)
Wa kwangu huyu
(Kamix Lizer)