Umenifunza
๐ต 1350 characters
โฑ๏ธ 3:32 duration
๐ ID: 12137268
๐ Lyrics
Ulo mpata anaupiga mwingi
Sio siri umenawiri
Rangi mashallah kampe hongera zake
Bato siwezi amenzidi vingi
Mwenzangu tajiri
Mi kapuku mlala njaa aah!
Sijafika level zake
Mi hali yangu pangu pakavu
Riziki yangu ndondondo
Nilicho jaliwa malavudavu
Ila kipato ndo mchongo
Mwenzangu kanizidi ubavu
Mi kijiti ye nondo
Ningewazeje kutoa madafu
Wakati mi mpera si uongo
Lakini nimemisi nimemisi kukuona kwangu
Yalaiti nami Mungu angenipa fungu langu
Labda usinge chitiii
Kama muhuni ningekuwa na vyangu
Ila atabariki nami Mungu atajibu maombi yangu
Ila umenifunza umasikini mbaya
Umenifunza umasikini mbaya
Umenifunza umasikini mbaya
Umenifunza umasikini mbaya
Na huyo ulompata usimuache
Maana anakupa nilivyovikosa mimi
Mungu awabariki fungate
Muwe wahalali awaepushie kuzini
Wala mwambie asikuchape
Aku! Mbona siku kuchapa mimi
Na we ujeuri uache
Mpe sifa mama uchunge yako ndimi
Siwezi sema nimesusa ntakuwa muongo
Kama ikitokea fursa mi bado niko singo
Hamu mwenzako kimejaa kichupa pakumwagia songombingo
Nisamehe ka mstari na uvuka
Maji yamenifika kwa shingo
Maana nimemisi nimemisi kukuona kwangu
Yalaiti nami Mungu angenipa fungu langu
Labda usinge chiti kama muhuni ningekuwa na vyangu
Ila atabariki nami Mungu atajibu maombi yangu
Ila umenifunza umasikini mbaya
Umenifunza umasikini mbaya
Umenifunza umasikini mbaya
Umenifunza umasikini mbaya
Sio siri umenawiri
Rangi mashallah kampe hongera zake
Bato siwezi amenzidi vingi
Mwenzangu tajiri
Mi kapuku mlala njaa aah!
Sijafika level zake
Mi hali yangu pangu pakavu
Riziki yangu ndondondo
Nilicho jaliwa malavudavu
Ila kipato ndo mchongo
Mwenzangu kanizidi ubavu
Mi kijiti ye nondo
Ningewazeje kutoa madafu
Wakati mi mpera si uongo
Lakini nimemisi nimemisi kukuona kwangu
Yalaiti nami Mungu angenipa fungu langu
Labda usinge chitiii
Kama muhuni ningekuwa na vyangu
Ila atabariki nami Mungu atajibu maombi yangu
Ila umenifunza umasikini mbaya
Umenifunza umasikini mbaya
Umenifunza umasikini mbaya
Umenifunza umasikini mbaya
Na huyo ulompata usimuache
Maana anakupa nilivyovikosa mimi
Mungu awabariki fungate
Muwe wahalali awaepushie kuzini
Wala mwambie asikuchape
Aku! Mbona siku kuchapa mimi
Na we ujeuri uache
Mpe sifa mama uchunge yako ndimi
Siwezi sema nimesusa ntakuwa muongo
Kama ikitokea fursa mi bado niko singo
Hamu mwenzako kimejaa kichupa pakumwagia songombingo
Nisamehe ka mstari na uvuka
Maji yamenifika kwa shingo
Maana nimemisi nimemisi kukuona kwangu
Yalaiti nami Mungu angenipa fungu langu
Labda usinge chiti kama muhuni ningekuwa na vyangu
Ila atabariki nami Mungu atajibu maombi yangu
Ila umenifunza umasikini mbaya
Umenifunza umasikini mbaya
Umenifunza umasikini mbaya
Umenifunza umasikini mbaya
โฑ๏ธ Synced Lyrics
[00:18.19] Ulo mpata anaupiga mwingi
[00:20.94] Sio siri umenawiri
[00:23.63] Rangi mashallah kampe hongera zake
[00:27.78] Bato siwezi amenzidi vingi
[00:30.99] Mwenzangu tajiri
[00:33.00] Mi kapuku mlala njaa aah!
[00:35.32] Sijafika level zake
[00:37.82] Mi hali yangu pangu pakavu
[00:40.63] Riziki yangu ndondondo
[00:43.11] Nilicho jaliwa malavudavu
[00:45.59] Ila kipato ndo mchongo
[00:47.96] Mwenzangu kanizidi ubavu
[00:50.27] Mi kijiti ye nondo
[00:52.64] Ningewazeje kutoa madafu
[00:55.31] Wakati mi mpera si uongo
[00:57.47] Lakini nimemisi nimemisi kukuona kwangu
[01:03.12] Yalaiti nami Mungu angenipa fungu langu
[01:07.62] Labda usinge chitiii
[01:10.24] Kama muhuni ningekuwa na vyangu
[01:12.64] Ila atabariki nami Mungu atajibu maombi yangu
[01:17.61] Ila umenifunza umasikini mbaya
[01:22.06] Umenifunza umasikini mbaya
[01:26.78] Umenifunza umasikini mbaya
[01:32.03] Umenifunza umasikini mbaya
[01:45.66] Na huyo ulompata usimuache
[01:48.96] Maana anakupa nilivyovikosa mimi
[01:51.89] Mungu awabariki fungate
[01:53.93] Muwe wahalali awaepushie kuzini
[01:56.57] Wala mwambie asikuchape
[01:58.67] Aku! Mbona siku kuchapa mimi
[02:01.35] Na we ujeuri uache
[02:03.76] Mpe sifa mama uchunge yako ndimi
[02:06.61] Siwezi sema nimesusa ntakuwa muongo
[02:11.67] Kama ikitokea fursa mi bado niko singo
[02:16.33] Hamu mwenzako kimejaa kichupa pakumwagia songombingo
[02:21.21] Nisamehe ka mstari na uvuka
[02:23.68] Maji yamenifika kwa shingo
[02:26.05] Maana nimemisi nimemisi kukuona kwangu
[02:31.03] Yalaiti nami Mungu angenipa fungu langu
[02:35.51] Labda usinge chiti kama muhuni ningekuwa na vyangu
[02:40.56] Ila atabariki nami Mungu atajibu maombi yangu
[02:45.62] Ila umenifunza umasikini mbaya
[02:50.18] Umenifunza umasikini mbaya
[02:54.81] Umenifunza umasikini mbaya
[02:59.87] Umenifunza umasikini mbaya
[03:29.88]
[00:20.94] Sio siri umenawiri
[00:23.63] Rangi mashallah kampe hongera zake
[00:27.78] Bato siwezi amenzidi vingi
[00:30.99] Mwenzangu tajiri
[00:33.00] Mi kapuku mlala njaa aah!
[00:35.32] Sijafika level zake
[00:37.82] Mi hali yangu pangu pakavu
[00:40.63] Riziki yangu ndondondo
[00:43.11] Nilicho jaliwa malavudavu
[00:45.59] Ila kipato ndo mchongo
[00:47.96] Mwenzangu kanizidi ubavu
[00:50.27] Mi kijiti ye nondo
[00:52.64] Ningewazeje kutoa madafu
[00:55.31] Wakati mi mpera si uongo
[00:57.47] Lakini nimemisi nimemisi kukuona kwangu
[01:03.12] Yalaiti nami Mungu angenipa fungu langu
[01:07.62] Labda usinge chitiii
[01:10.24] Kama muhuni ningekuwa na vyangu
[01:12.64] Ila atabariki nami Mungu atajibu maombi yangu
[01:17.61] Ila umenifunza umasikini mbaya
[01:22.06] Umenifunza umasikini mbaya
[01:26.78] Umenifunza umasikini mbaya
[01:32.03] Umenifunza umasikini mbaya
[01:45.66] Na huyo ulompata usimuache
[01:48.96] Maana anakupa nilivyovikosa mimi
[01:51.89] Mungu awabariki fungate
[01:53.93] Muwe wahalali awaepushie kuzini
[01:56.57] Wala mwambie asikuchape
[01:58.67] Aku! Mbona siku kuchapa mimi
[02:01.35] Na we ujeuri uache
[02:03.76] Mpe sifa mama uchunge yako ndimi
[02:06.61] Siwezi sema nimesusa ntakuwa muongo
[02:11.67] Kama ikitokea fursa mi bado niko singo
[02:16.33] Hamu mwenzako kimejaa kichupa pakumwagia songombingo
[02:21.21] Nisamehe ka mstari na uvuka
[02:23.68] Maji yamenifika kwa shingo
[02:26.05] Maana nimemisi nimemisi kukuona kwangu
[02:31.03] Yalaiti nami Mungu angenipa fungu langu
[02:35.51] Labda usinge chiti kama muhuni ningekuwa na vyangu
[02:40.56] Ila atabariki nami Mungu atajibu maombi yangu
[02:45.62] Ila umenifunza umasikini mbaya
[02:50.18] Umenifunza umasikini mbaya
[02:54.81] Umenifunza umasikini mbaya
[02:59.87] Umenifunza umasikini mbaya
[03:29.88]