Home ๐ŸŽฌ Bollywood ๐ŸŽต Pakistani ๐ŸŽค English Pop

Vaileti

๐Ÿ‘ค Matonya โ€ข ๐ŸŽผ Best of Tanzania Bongo Classics 2 โ€ข โฑ๏ธ 4:49
๐ŸŽต 2233 characters
โฑ๏ธ 4:49 duration
๐Ÿ†” ID: 12749832

๐Ÿ“œ Lyrics

Watu walishachonga sana, eti Vailet simpati tena
Na kuongea uzushi bwana, kwa kuona mambo yetu yananyooka
Hata kiss na hug sipati, oh mama, baby
Hata kiss na hug sipati, oh mama, baby

Watu walishachonga sana, eti Vailet simpati tena
Na kuongea uzushi bwana, kwa kuona mambo yetu yananyooka
Hata kiss na hug sipati, oh mama, baby
Hata kiss na hug sipati, oh mama, baby

Mi' na huyu demu tunapendana sisi kila sehemu
Mi' naye hatutoachana, kwenye shida na raha sisi tunapendana
Ona tunapendana, mseme msemavyo tutazikana
Mi' na Vai' hatutoachana, mbane mbanavyo tutazikana

Mi' naye hatutoachana, wanaogombana wanapatana
Nikikuudhi naomba unisamehe, kama kadi, "I'm sorry" mpenzi nikuletee
Sema unachotaka, chochote unachotaka nitakupa mama
Baby usiwe na pupa, usiwe kama fisi unataka mfupa
Wewe Vailet amini we ndo my sweet heart
Mi napenda unavyodeka, unavyocheka mwili unaweweseka

Watu walishachonga sana, eti Vailet simpati tena
Na kuongea uzushi bwana, kwa kuona mambo yetu yananyooka
Hata kiss na hug sipati, oh mama, baby
Hata kiss na hug sipati, oh mama, baby

Watu walishachonga sana, eti Vailet simpati tena
Na kuongea uzushi bwana, kwa kuona mambo yetu yananyooka
Hata kiss na hug sipati, oh mama, baby
Hata kiss na hug sipati, oh mama, baby

Vailet njoo, Vailet usi-go
Vailet usifanye chochote itakuwa soo
Kwani mi mwenzako Tonya nakupenda sana
Ziba masikio wanafiki watakudanganya

Vailet basi usiwe na wasi'
Ushanikataza na-stop kuvuta nyasi
Kuna mazuri baby utakuwa huyapati
Kipindi kile we utaponisaliti, eh

Vailet we ndo keki wengine fake, mtamaniji huwa hariziki, eh
Mi na wewe tu, we ndo wangu sister du
Usiwe na makuu nasisitiza we ndo my boo
Vailet usininyanyase mie, Vailet nini nikununulie (baby)

Watu walishachonga sana, eti Vailet simpati tena
Na kuongea uzushi bwana, kwa kuona mambo yetu yananyooka
Hata kiss na hug sipati, oh mama, baby
Hata kiss na hug sipati, oh mama, baby

Watu walishachonga sana, eti Vailet simpati tena
Na kuongea uzushi bwana, kwa kuona mambo yetu yananyooka
Hata kiss na hug sipati, oh mama, baby
Hata kiss na hug sipati, oh mama, baby

Baby, mara, mara boo, mara, mara boo
Vailet, Vailet ma', Vailet
(Wabishi wote ndani ya sing hapa au sio)
Vailet ma', Vailet mommy usinichukie

โฑ๏ธ Synced Lyrics

[00:22.55] Watu walishachonga sana, eti Vailet simpati tena
[00:27.84] Na kuongea uzushi bwana, kwa kuona mambo yetu yananyooka
[00:33.45] Hata kiss na hug sipati, oh mama, baby
[00:38.74] Hata kiss na hug sipati, oh mama, baby
[00:44.04] Watu walishachonga sana, eti Vailet simpati tena
[00:49.28] Na kuongea uzushi bwana, kwa kuona mambo yetu yananyooka
[00:54.84] Hata kiss na hug sipati, oh mama, baby
[01:00.01] Hata kiss na hug sipati, oh mama, baby
[01:05.67] Mi' na huyu demu tunapendana sisi kila sehemu
[01:10.52] Mi' naye hatutoachana, kwenye shida na raha sisi tunapendana
[01:16.12] Ona tunapendana, mseme msemavyo tutazikana
[01:21.14] Mi' na Vai' hatutoachana, mbane mbanavyo tutazikana
[01:26.66] Mi' naye hatutoachana, wanaogombana wanapatana
[01:31.87] Nikikuudhi naomba unisamehe, kama kadi, "I'm sorry" mpenzi nikuletee
[01:37.49] Sema unachotaka, chochote unachotaka nitakupa mama
[01:42.68] Baby usiwe na pupa, usiwe kama fisi unataka mfupa
[01:47.92] Wewe Vailet amini we ndo my sweet heart
[01:53.42] Mi napenda unavyodeka, unavyocheka mwili unaweweseka
[01:58.78] Watu walishachonga sana, eti Vailet simpati tena
[02:04.28] Na kuongea uzushi bwana, kwa kuona mambo yetu yananyooka
[02:09.40] Hata kiss na hug sipati, oh mama, baby
[02:14.50] Hata kiss na hug sipati, oh mama, baby
[02:20.06] Watu walishachonga sana, eti Vailet simpati tena
[02:25.33] Na kuongea uzushi bwana, kwa kuona mambo yetu yananyooka
[02:30.66] Hata kiss na hug sipati, oh mama, baby
[02:36.12] Hata kiss na hug sipati, oh mama, baby
[02:41.67]
[02:52.25] Vailet njoo, Vailet usi-go
[02:55.05] Vailet usifanye chochote itakuwa soo
[02:57.78] Kwani mi mwenzako Tonya nakupenda sana
[03:00.47] Ziba masikio wanafiki watakudanganya
[03:02.86] Vailet basi usiwe na wasi'
[03:05.57] Ushanikataza na-stop kuvuta nyasi
[03:08.76] Kuna mazuri baby utakuwa huyapati
[03:11.42] Kipindi kile we utaponisaliti, eh
[03:15.71] Vailet we ndo keki wengine fake, mtamaniji huwa hariziki, eh
[03:22.45] Mi na wewe tu, we ndo wangu sister du
[03:25.24] Usiwe na makuu nasisitiza we ndo my boo
[03:27.68] Vailet usininyanyase mie, Vailet nini nikununulie (baby)
[03:34.65] Watu walishachonga sana, eti Vailet simpati tena
[03:39.99] Na kuongea uzushi bwana, kwa kuona mambo yetu yananyooka
[03:45.52] Hata kiss na hug sipati, oh mama, baby
[03:50.58] Hata kiss na hug sipati, oh mama, baby
[03:55.13] Watu walishachonga sana, eti Vailet simpati tena
[04:01.48] Na kuongea uzushi bwana, kwa kuona mambo yetu yananyooka
[04:06.45] Hata kiss na hug sipati, oh mama, baby
[04:12.03] Hata kiss na hug sipati, oh mama, baby
[04:18.37] Baby, mara, mara boo, mara, mara boo
[04:23.87] Vailet, Vailet ma', Vailet
[04:28.65] (Wabishi wote ndani ya sing hapa au sio)
[04:31.76] Vailet ma', Vailet mommy usinichukie
[04:39.06]

โญ Rate These Lyrics

โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†
Average: 0.0/5 โ€ข 0 ratings