Home ๐ŸŽฌ Bollywood ๐ŸŽต Pakistani ๐ŸŽค English Pop

Mawazo

๐Ÿ‘ค Diamond โ€ข ๐ŸŽผ Zum Zum Zum: African Football Party โ€ข โฑ๏ธ 3:33
๐ŸŽต 1008 characters
โฑ๏ธ 3:33 duration
๐Ÿ†” ID: 12752037

๐Ÿ“œ Lyrics

Ningekuwa na uwezo ningekunywa hata pombe ili nipunguze mawazo, maana mchana kutwa hata usiku silali mapenzi kwangu kikwazo.
(Vearse one)
Sikujua mapenzi balaa tena ni maladhi ya moyo kupendaga...
tena mapenzi karaha yanajenga chuki na choyo kwenye kava...
Utu wangu unathamani inamaana kweli hakuvijua!
Licha ya burudani namapenzi yangu akayatimua,
Utu wangu unathamani inamaana kweli havijuaa!
Mmmh! Licha ya burudani ndani akaamua kutimuaah! (Inauma sana)
(Chorous)
Ningekuwa na uwezo ningekunywa hata pombe ili nipunguze mawazo, maana mchana kutwa hata usiku silali mapenzi kwangu kikwazo. (rudia kuimba mara mbili)
Ona jini kisirani kaingia kwenye utamu wa penzi langu
ameleta tafarani naumia nalia na moyo wangu...
Ona jini kisirani kaingia kwenye utamu wa penzi langu,
ameleta tafarani mwenzenu nalia na moyo wangu.
Kweli wivu me ninao na roho yangu inaumiaa,
kweli wapenda nao ndo maadui zikitimia!
Lile tunda langu la mara leo limekuwa sumu kwangu,
ona tena sina raha me nacheka nalia na moyo wangu.

โญ Rate These Lyrics

โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†
Average: 0.0/5 โ€ข 0 ratings