Home ๐ŸŽฌ Bollywood ๐ŸŽต Pakistani ๐ŸŽค English Pop

Sitanyamaza

๐Ÿ‘ค Rose Muhando โ€ข ๐ŸŽผ Uinuliwe Baba โ€ข โฑ๏ธ 8:24
๐ŸŽต 2229 characters
โฑ๏ธ 8:24 duration
๐Ÿ†” ID: 12770769

๐Ÿ“œ Lyrics

Eeeehhhh... Mimi Mungu (Me, God)
Matendo nitalia, Kwa sinani nitaomboleza
Sodoma nitanung'unika, Mipakani nitashambulia
Mijini wameniacha, Kila mara nitashambulia
Maisha ya wanadamu,Yamenichosha.
Oh oh mimi
Sitanyamaza, wala sitanyamaza
Lakini nitalipa ujira wa vifuani mwao
Maovu yenu ninyi, pamoja na baba zenu
Nasema nitalipa ndio mjue mimi ni Bwana
Mmefukiza uvumba,na kunitukana
Kwa ajili ya haya mtajutia vitani mwenu?

Sitanyamaza, wala sitanyamaza
Lakini nitalipa ujira wa vifuani mwao
Maovu yenu ninyi, pamoja na baba zenu
Nasema nitalipa ndio mjue mimi ni Bwana
Mmefukiza uvumba, na kunitukana
Kwa ajili ya haya mtajutia vitani mwenu?

Mmefanya uzinzi katikati ya milima
Usiku wa manane mmefanya ukahaba
Kwenye njia kuu na vichochoro mmefanya mapatano
Kwenye mialoni na mipera mmefanya machukizo

Mmefanya uzinzi katikati ya milima
Usiku wa manane mmefanya ukahaba
Kwenye njia kuu na vichochoro mmefanya mapatano
Kwenye mialoni na mipera mmefanya machukizo

Ulitumaini uzuri wako ukafanya ukahaba
Kila kijana aliyepita ulimwona anafaa
Awe mzuri na sura mbaya ulifunua marinda

Ulitumaini uzuri wako ukafanya ukahaba
Kila kijana aliyepita ulimwona anafaa
Awe mzuri na sura mbaya ulifunua marinda

Wako wapi wapenzi wako mbona sasa unakonda
Wako wapi mapenzi zako mbona sasa unakonda
Wako wapi wapenzi wako mbona sasa unakonda
Wako wapi waelizamu (?) wako mbona sasa unakonda

Miji mizuri imekuwa ukiwa
Majumba mazuri yamefungwa kabisa
Wana wa wana wamebaki yatima
Kiburi chamuwamu(?) imekoma kabisa

Miji mizuri imekuwa ukiwa
Majumba mazuri yamefungwa kabisa
Wana wa wana wamebaki yatima
Kiburi chamuwamu(?) imekoma kabisa

Hebu sasa piga kelele uliyeka habaa
Shika kinubi omboleza upate kukumbukwa

Hebu sasa piga kelele uliyeka habaa
Shika kinubi omboleza upate kukumbukwa

Nirudieni mimi niwasamehe, Nasema mgeukeni sasa niwaponye 5

Lakini Bwana asema hivi, nitawaponya
Yeye mwenyewe aahidi, nitawabariki
Mimi ni alfa na omega ayyoyo, mwanzo na mwisho
Jamani mimi ni mungu, mwingine hapana

Lakini Bwana asema hivi, nitawaponya
Yeye mwenyewe aahidi, nitawabariki
Mimi ni alfa na omega ayyoyo, mwanzo na mwisho
Jamani mimi ni mungu, mwingine hapana

Nirudieni mimi niwasamehe, Nasema mgeukeni sasa niwaponye 7 to fade

โฑ๏ธ Synced Lyrics

[00:08.34] Eeeehhhh... Mimi Mungu (Me, God)
[00:14.18] Matendo nitalia, Kwa sinani nitaomboleza
[00:18.74] Sodoma nitanung'unika, Mipakani nitashambulia
[00:24.04] Mijini wameniacha, Kila mara nitashambulia
[00:28.79] Maisha ya wanadamu,Yamenichosha.
[00:37.49] Oh oh mimi
[00:43.65] Sitanyamaza, wala sitanyamaza
[00:48.54] Lakini nitalipa ujira wa vifuani mwao
[00:53.61] Maovu yenu ninyi, pamoja na baba zenu
[00:58.73] Nasema nitalipa ndio mjue mimi ni Bwana
[01:03.56] Mmefukiza uvumba,na kunitukana
[01:08.45] Kwa ajili ya haya mtajutia vitani mwenu?
[01:13.25] Sitanyamaza, wala sitanyamaza
[01:18.50] Lakini nitalipa ujira wa vifuani mwao
[01:23.26] Maovu yenu ninyi, pamoja na baba zenu
[01:28.20] Nasema nitalipa ndio mjue mimi ni Bwana
[01:32.39] Mmefukiza uvumba, na kunitukana
[01:37.96] Kwa ajili ya haya mtajutia vitani mwenu?
[01:53.48] Mmefanya uzinzi katikati ya milima
[01:57.87] Usiku wa manane mmefanya ukahaba
[02:02.62] Kwenye njia kuu na vichochoro mmefanya mapatano
[02:07.02] Kwenye mialoni na mipera mmefanya machukizo
[02:12.37] Mmefanya uzinzi katikati ya milima
[02:17.66] Usiku wa manane mmefanya ukahaba
[02:22.74] Kwenye njia kuu na vichochoro mmefanya mapatano
[02:27.86] Kwenye mialoni na mipera mmefanya machukizo
[02:43.11] Ulitumaini uzuri wako ukafanya ukahaba
[02:46.96] Kila kijana aliyepita ulimwona anafaa
[02:52.38] Awe mzuri na sura mbaya ulifunua marinda
[02:57.46] Ulitumaini uzuri wako ukafanya ukahaba
[03:02.55] Kila kijana aliyepita ulimwona anafaa
[03:07.23] Awe mzuri na sura mbaya ulifunua marinda
[03:12.24] Wako wapi wapenzi wako mbona sasa unakonda
[03:17.00] Wako wapi mapenzi zako mbona sasa unakonda
[03:21.38] Wako wapi wapenzi wako mbona sasa unakonda
[03:26.84] Wako wapi waelizamu (?) wako mbona sasa unakonda
[03:52.89] Miji mizuri imekuwa ukiwa
[03:57.33] Majumba mazuri yamefungwa kabisa
[04:02.58] Wana wa wana wamebaki yatima
[04:06.91] Kiburi chamuwamu(?) imekoma kabisa
[04:12.56] Miji mizuri imekuwa ukiwa
[04:17.35] Majumba mazuri yamefungwa kabisa
[04:21.96] Wana wa wana wamebaki yatima
[04:26.82] Kiburi chamuwamu(?) imekoma kabisa
[04:43.35] Hebu sasa piga kelele uliyeka habaa
[04:47.33] Shika kinubi omboleza upate kukumbukwa
[04:52.43] Hebu sasa piga kelele uliyeka habaa
[04:57.14] Shika kinubi omboleza upate kukumbukwa
[05:21.51] Nirudieni mimi niwasamehe, Nasema mgeukeni sasa niwaponye 5
[06:30.30] Lakini Bwana asema hivi, nitawaponya
[06:34.71] Yeye mwenyewe aahidi, nitawabariki
[06:40.22] Mimi ni alfa na omega ayyoyo, mwanzo na mwisho
[06:45.33] Jamani mimi ni mungu, mwingine hapana
[06:49.99] Lakini Bwana asema hivi, nitawaponya
[06:55.58] Yeye mwenyewe aahidi, nitawabariki
[07:00.17] Mimi ni alfa na omega ayyoyo, mwanzo na mwisho
[07:04.75] Jamani mimi ni mungu, mwingine hapana
[07:08.50] Nirudieni mimi niwasamehe, Nasema mgeukeni sasa niwaponye 7 to fade
[08:21.63]

โญ Rate These Lyrics

โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†
Average: 0.0/5 โ€ข 0 ratings