Home ๐ŸŽฌ Bollywood ๐ŸŽต Pakistani ๐ŸŽค English Pop

Hata Kwetu Wapo

๐Ÿ‘ค Sam Wa Ukweli โ€ข ๐ŸŽผ Bongo Flava Hits & Classics โ€ข โฑ๏ธ 4:54
๐ŸŽต 2657 characters
โฑ๏ธ 4:54 duration
๐Ÿ†” ID: 13117556

๐Ÿ“œ Lyrics

Wenye machungu na mabaya sio kwenu tu, ata kwetu wapo
Wapenda ngono na wachawi sio kwenu tu, hata kwetu wapo
Ukichukia sishangai, peace and love
Mi najua binadamu ndivyo tulivyo
Ukichukia sishangai, peace and love
Mi najua binadamu ndivyo tulivyo

Kiuwezo sifanani nao ingawa wamenizidi age, wanadisi
Wanadaki nachonifanya niringe ni hiki kipaji, cha muziki
Kiuwezo sifanani nao ingawa wamenizidi age, wanadisi
Wanadai kinachonifanya niringe ni hiki kipaji, cha muziki
Wamesahau kama aliye juu mola ndiye mpaji mgawa riziki
Kuna wengine wanaotamani wawe kama mimi kwenye muziki

Ila mimi bado najua, wengi kwangu watasubiri
Ila mimi bado najua, wengi kwangu watasubiri
Ukichukia sishangai mi najua binadamu ndivyo tulivyo
Ukichukia sishangai mimi mi najua binadamu ndivyo tulivyo

Wenye machungu na mabaya sio kwenu tu, ata kwetu wapo
Wapenda ngono na wachawi sio kwenu tu, hata kwetu wapo
Ukinichukia sishangai peace and love, mina jua binadamu ndivyo tulivyo
Ukinichukia sishangai peace and love, mina jua binadamu ndivyo tulivyo

Kila siku mambo mengi yanatokea
Ni ukweli sio kwamba nakuongopea
Binadamu ni wengi na wachache ndo wema
Amini navyokwambia
Kila siku mambo mengi yanatokea
Kwa kweli ukweli sio kwamba nakuongopea
Binadamu ni wengi na wachache ndo wema
Amini navyokwambia
Unaweza kutenda kitu bora kizuri
Wengine wakapenda wengine wakakera

Imani inaponza watu wengine si wazuri
Hata ukitenda jema
Unaweza kutenda kitu bora kizuri
Wengine wakapenda wengine wakakera
Imani inaponza watu wengine si wazuri
Hata ukitenda jema

Ila mimi bado najua
Wengi kwangu watasubiri
Ila mimi bado najua
Wengi kwangu watasubiri
Uki nichukia sishangai, mi najua binadamu ndivyo tulivyo
Uki nichukia sishangai mimi, mi najua binadamu ndivyo tulivyo

Wenye machungu na mabaya sio kwenu tu, ata kwetu wapo
Wapenda ngono na wachawi sio kwenu tu, hata kwetu wapo
Ukichukia sishangai, peace and love
Mi najua binadamu ndivyo tulivyo
Ukichukia sishangai, peace and love
Mi najua binadamu ndivyo tulivyo

Weupe, weusi (wapo)
Warefu, wafupi (ona)
Weupe, weusi (wapo)
Warefu, wafupi (ona)
Unakula nao, unalala nao, hapo hata hapo ulipo wapo
Unakula nao, unalala nao, hapo hata hapo ulipo wapo
Wamevaa ngozi ya kondoo kumbe chui
Wanajifanya marafiki kumbe maadui
Wamevaa ngozi ya kondoo kumbe chui
Wanajifanya marafiki kumbe maadui

Eeh cheza nao mbali
E-e-e-eh cheza nao mbali
Eeh cheza nao mbali, mbalii mbalii eh

Wenye machungu na mabaya sio kwenu tu, ata kwetu wapo
Wapenda ngono na wachawi sio kwenu tu, hata kwetu wapo
Ukichukia sishangai peace and love
Mi najua binadamu ndivyo tulivyo
Ukichukia sishangai peace and love
Mi najua binadamu ndivyo tulivyo

Dedicace

โญ Rate These Lyrics

โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†
Average: 0.0/5 โ€ข 0 ratings