Tumsifu Bwana
๐ต 2133 characters
โฑ๏ธ 6:00 duration
๐ ID: 14128524
๐ Lyrics
Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
Eeh baba, Simama, simama tumsifu Bwana
Eeh mama, Simama, simama tumsifu Bwana
Kijana simama, simama tumsifu Bwana
Watu wote simama, simama tumsifu Bwana
Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
Simama, simama aah tumsifu Bwana
Ndugu yangu simama, simama aah tumsifu Bwana
Uliyeketi simama, simama aah tumsifu Bwana
Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
Nasema nawe uliyemata tamaa
Unaona kila kitu huwezi
Kila jambo jema unalofikiri
Mbona anawapa wengine
Kama Bwana aweza kutumia kila kitu
Mwambie akutumie leo
Mpe moyo na maisha yako
Yote na wala si nusu
Akutumie vile apendavyo
Mwambie nitumie Bwana
Leo hii na wala sii kesho
Leo hii leo hii
Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
Tukimuita atatuitika
Tukimkaribia atatukaribia
Tukiinua mikono yetu naye atatuinua juu
Tukimpa mioyo yetu ataponya nchi yetu
Njooni tulisifu jina lake Bwana
Enyi watakatifu wa Mungu
Maana kusifu kunawapasa
Wanyoofu wa moyo
Tumsifu Bwana sifu Bwana tumsifu Bwana (Tumsifu Bwana)
Tumsifu Bwana sifu Bwana tumsifu Bwana (Tumsifu Bwana)
Kwa makofi kwa nderemo na vifijo (Tumsifu Bwana)
Kwa matone kwa vinubi na vinanda (Tumsifu Bwana)
Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
Katika sifa magonjwa yanapona simama simama aah (Tumsifu Bwana)
Katika sifa mapepo yatoroka simama simama aah (Tumsifu Bwana)
Katika sifa utukufu unashuka simama simama aah (Tumsifu Bwana)
Usipo sifu hata mawe yatasifu simama simama aah (Tumsifu Bwana)
Usipo sifu hata milima itasifu simama simama aah (Tumsifu Bwana)
Ukinyamaza sisimizi watasifu simama simama aah (Tumsifu Bwana)
Ukinyamaza hata mito itaimba simama simama aah (Tumsifu Bwana)
Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
Eeh baba, Simama, simama tumsifu Bwana
Eeh mama, Simama, simama tumsifu Bwana
Kijana simama, simama tumsifu Bwana
Watu wote simama, simama tumsifu Bwana
Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
Simama, simama aah tumsifu Bwana
Ndugu yangu simama, simama aah tumsifu Bwana
Uliyeketi simama, simama aah tumsifu Bwana
Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
Nasema nawe uliyemata tamaa
Unaona kila kitu huwezi
Kila jambo jema unalofikiri
Mbona anawapa wengine
Kama Bwana aweza kutumia kila kitu
Mwambie akutumie leo
Mpe moyo na maisha yako
Yote na wala si nusu
Akutumie vile apendavyo
Mwambie nitumie Bwana
Leo hii na wala sii kesho
Leo hii leo hii
Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
Tukimuita atatuitika
Tukimkaribia atatukaribia
Tukiinua mikono yetu naye atatuinua juu
Tukimpa mioyo yetu ataponya nchi yetu
Njooni tulisifu jina lake Bwana
Enyi watakatifu wa Mungu
Maana kusifu kunawapasa
Wanyoofu wa moyo
Tumsifu Bwana sifu Bwana tumsifu Bwana (Tumsifu Bwana)
Tumsifu Bwana sifu Bwana tumsifu Bwana (Tumsifu Bwana)
Kwa makofi kwa nderemo na vifijo (Tumsifu Bwana)
Kwa matone kwa vinubi na vinanda (Tumsifu Bwana)
Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
Katika sifa magonjwa yanapona simama simama aah (Tumsifu Bwana)
Katika sifa mapepo yatoroka simama simama aah (Tumsifu Bwana)
Katika sifa utukufu unashuka simama simama aah (Tumsifu Bwana)
Usipo sifu hata mawe yatasifu simama simama aah (Tumsifu Bwana)
Usipo sifu hata milima itasifu simama simama aah (Tumsifu Bwana)
Ukinyamaza sisimizi watasifu simama simama aah (Tumsifu Bwana)
Ukinyamaza hata mito itaimba simama simama aah (Tumsifu Bwana)
Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
โฑ๏ธ Synced Lyrics
[00:12.75] Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
[00:18.99] Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
[00:24.33] Eeh baba, Simama, simama tumsifu Bwana
[00:31.06] Eeh mama, Simama, simama tumsifu Bwana
[00:36.65] Kijana simama, simama tumsifu Bwana
[00:43.39] Watu wote simama, simama tumsifu Bwana
[00:56.72] Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
[01:02.67] Simama, simama aah tumsifu Bwana
[01:08.97] Ndugu yangu simama, simama aah tumsifu Bwana
[01:15.05] Uliyeketi simama, simama aah tumsifu Bwana
[01:21.06] Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
[01:27.30] Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
[01:32.67] Nasema nawe uliyemata tamaa
[01:35.73] Unaona kila kitu huwezi
[01:38.70] Kila jambo jema unalofikiri
[01:41.77] Mbona anawapa wengine
[01:45.05] Kama Bwana aweza kutumia kila kitu
[01:47.93] Mwambie akutumie leo
[01:51.10] Mpe moyo na maisha yako
[01:54.16] Yote na wala si nusu
[01:56.61] Akutumie vile apendavyo
[01:59.58] Mwambie nitumie Bwana
[02:02.71] Leo hii na wala sii kesho
[02:05.77] Leo hii leo hii
[02:20.58] Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
[02:27.19] Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
[02:32.97] Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
[02:39.10] Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
[02:51.63] Tukimuita atatuitika
[02:54.22] Tukimkaribia atatukaribia
[02:57.62] Tukiinua mikono yetu naye atatuinua juu
[03:03.38] Tukimpa mioyo yetu ataponya nchi yetu
[03:09.61] Njooni tulisifu jina lake Bwana
[03:12.76] Enyi watakatifu wa Mungu
[03:15.76] Maana kusifu kunawapasa
[03:18.66] Wanyoofu wa moyo
[03:27.86] Tumsifu Bwana sifu Bwana tumsifu Bwana (Tumsifu Bwana)
[03:34.08] Tumsifu Bwana sifu Bwana tumsifu Bwana (Tumsifu Bwana)
[03:40.43] Kwa makofi kwa nderemo na vifijo (Tumsifu Bwana)
[03:46.43] Kwa matone kwa vinubi na vinanda (Tumsifu Bwana)
[03:52.34] Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
[03:58.68] Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
[04:04.83] Katika sifa magonjwa yanapona simama simama aah (Tumsifu Bwana)
[04:11.40] Katika sifa mapepo yatoroka simama simama aah (Tumsifu Bwana)
[04:16.93] Katika sifa utukufu unashuka simama simama aah (Tumsifu Bwana)
[04:24.03] Usipo sifu hata mawe yatasifu simama simama aah (Tumsifu Bwana)
[04:30.39] Usipo sifu hata milima itasifu simama simama aah (Tumsifu Bwana)
[04:36.47] Ukinyamaza sisimizi watasifu simama simama aah (Tumsifu Bwana)
[04:42.75] Ukinyamaza hata mito itaimba simama simama aah (Tumsifu Bwana)
[04:48.70] Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
[04:55.23] Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
[05:01.08] Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
[05:07.26] Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
[05:13.25] Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
[05:19.84] Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
[05:37.76]
[00:18.99] Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
[00:24.33] Eeh baba, Simama, simama tumsifu Bwana
[00:31.06] Eeh mama, Simama, simama tumsifu Bwana
[00:36.65] Kijana simama, simama tumsifu Bwana
[00:43.39] Watu wote simama, simama tumsifu Bwana
[00:56.72] Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
[01:02.67] Simama, simama aah tumsifu Bwana
[01:08.97] Ndugu yangu simama, simama aah tumsifu Bwana
[01:15.05] Uliyeketi simama, simama aah tumsifu Bwana
[01:21.06] Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
[01:27.30] Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
[01:32.67] Nasema nawe uliyemata tamaa
[01:35.73] Unaona kila kitu huwezi
[01:38.70] Kila jambo jema unalofikiri
[01:41.77] Mbona anawapa wengine
[01:45.05] Kama Bwana aweza kutumia kila kitu
[01:47.93] Mwambie akutumie leo
[01:51.10] Mpe moyo na maisha yako
[01:54.16] Yote na wala si nusu
[01:56.61] Akutumie vile apendavyo
[01:59.58] Mwambie nitumie Bwana
[02:02.71] Leo hii na wala sii kesho
[02:05.77] Leo hii leo hii
[02:20.58] Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
[02:27.19] Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
[02:32.97] Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
[02:39.10] Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
[02:51.63] Tukimuita atatuitika
[02:54.22] Tukimkaribia atatukaribia
[02:57.62] Tukiinua mikono yetu naye atatuinua juu
[03:03.38] Tukimpa mioyo yetu ataponya nchi yetu
[03:09.61] Njooni tulisifu jina lake Bwana
[03:12.76] Enyi watakatifu wa Mungu
[03:15.76] Maana kusifu kunawapasa
[03:18.66] Wanyoofu wa moyo
[03:27.86] Tumsifu Bwana sifu Bwana tumsifu Bwana (Tumsifu Bwana)
[03:34.08] Tumsifu Bwana sifu Bwana tumsifu Bwana (Tumsifu Bwana)
[03:40.43] Kwa makofi kwa nderemo na vifijo (Tumsifu Bwana)
[03:46.43] Kwa matone kwa vinubi na vinanda (Tumsifu Bwana)
[03:52.34] Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
[03:58.68] Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
[04:04.83] Katika sifa magonjwa yanapona simama simama aah (Tumsifu Bwana)
[04:11.40] Katika sifa mapepo yatoroka simama simama aah (Tumsifu Bwana)
[04:16.93] Katika sifa utukufu unashuka simama simama aah (Tumsifu Bwana)
[04:24.03] Usipo sifu hata mawe yatasifu simama simama aah (Tumsifu Bwana)
[04:30.39] Usipo sifu hata milima itasifu simama simama aah (Tumsifu Bwana)
[04:36.47] Ukinyamaza sisimizi watasifu simama simama aah (Tumsifu Bwana)
[04:42.75] Ukinyamaza hata mito itaimba simama simama aah (Tumsifu Bwana)
[04:48.70] Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
[04:55.23] Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
[05:01.08] Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
[05:07.26] Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
[05:13.25] Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
[05:19.84] Simama, simama simama aah tumsifu Bwana
[05:37.76]