Nibadilishe
๐ต 1553 characters
โฑ๏ธ 3:40 duration
๐ ID: 14285280
๐ Lyrics
Kwanza nimenyoa deni
Napenda sana mitindo ya nywele
Kuruka usiseme
Viwanja vipya ninakaribishwa
Kwenye kura saa za Insta nakesha
Nikitafuta tena mabaya
Nikisikia mabata nataka
Nalitafuta tena nalipa
Wala silipi maden, Nikikopa na beti
Wala sionagi soni
Fungu la kumi kwangu hio ni stori
Nasubiri jumapili(Sunday)
Hata najua sina imani, japo naitikia Amina
Nasubiria ukitendaga kwanza, ndio nikubali
Aah kama Yesu najua na idadi ya vitabu najua
Na yalipo makanisa najua, ila kuhudhuria nashindwa
Oooh kwa ibada nasinzia, sijui mdudu kaingia
Ila nikiona bia, nasikia kuchangamkaa
Oooh kwa ibada nasinzia, sijui mdudu kaingia
Ila nikiona bia, nasikia kuchangamkaa
Eeh niko na ubaya, niko na ubaya
Eeh niko na ubaya, Bwana nibadilishe
Oooh niko na ubaya, niko na ubaya
Eeh niko na ubaya, Bwana nibadilishe
Kuna venye hii movie inanichoma
Hasa ile parapanda
Ikipigwa wakizika
Na appear, sirudii kosa
Maneno yananichoma
Binadamu ni maua
Ikipita wiki moja masikini
Nasahau kabisa
Oooh kwa ibada nasinzia, sijui mdudu kaingia
Ila nikiona bia, nasikia kuchangamkaa
Oooh kwa ibada nasinzia, sijui mdudu kaingia
Ila nikiona bia, nasikia kuchangamkaa
Eeh niko na ubaya, niko na ubaya
Eeh niko na ubaya, Bwana nibadilishe
Oooh niko na ubaya, niko na ubaya
Eeh niko na ubaya, Bwana nibadilishe
Nakupa maisha na moyo, utakase
Ninapoanguka nishike nisimame
Nakupa maisha na moyo, utakase
Ninapoanguka nishike nisimame
Eeh niko na ubaya, niko na ubaya
Eeh niko na ubaya, Bwana nibadilishe
Oooh niko na ubaya, niko na ubaya
Eeh niko na ubaya, Bwana nibadilishe
Napenda sana mitindo ya nywele
Kuruka usiseme
Viwanja vipya ninakaribishwa
Kwenye kura saa za Insta nakesha
Nikitafuta tena mabaya
Nikisikia mabata nataka
Nalitafuta tena nalipa
Wala silipi maden, Nikikopa na beti
Wala sionagi soni
Fungu la kumi kwangu hio ni stori
Nasubiri jumapili(Sunday)
Hata najua sina imani, japo naitikia Amina
Nasubiria ukitendaga kwanza, ndio nikubali
Aah kama Yesu najua na idadi ya vitabu najua
Na yalipo makanisa najua, ila kuhudhuria nashindwa
Oooh kwa ibada nasinzia, sijui mdudu kaingia
Ila nikiona bia, nasikia kuchangamkaa
Oooh kwa ibada nasinzia, sijui mdudu kaingia
Ila nikiona bia, nasikia kuchangamkaa
Eeh niko na ubaya, niko na ubaya
Eeh niko na ubaya, Bwana nibadilishe
Oooh niko na ubaya, niko na ubaya
Eeh niko na ubaya, Bwana nibadilishe
Kuna venye hii movie inanichoma
Hasa ile parapanda
Ikipigwa wakizika
Na appear, sirudii kosa
Maneno yananichoma
Binadamu ni maua
Ikipita wiki moja masikini
Nasahau kabisa
Oooh kwa ibada nasinzia, sijui mdudu kaingia
Ila nikiona bia, nasikia kuchangamkaa
Oooh kwa ibada nasinzia, sijui mdudu kaingia
Ila nikiona bia, nasikia kuchangamkaa
Eeh niko na ubaya, niko na ubaya
Eeh niko na ubaya, Bwana nibadilishe
Oooh niko na ubaya, niko na ubaya
Eeh niko na ubaya, Bwana nibadilishe
Nakupa maisha na moyo, utakase
Ninapoanguka nishike nisimame
Nakupa maisha na moyo, utakase
Ninapoanguka nishike nisimame
Eeh niko na ubaya, niko na ubaya
Eeh niko na ubaya, Bwana nibadilishe
Oooh niko na ubaya, niko na ubaya
Eeh niko na ubaya, Bwana nibadilishe
โฑ๏ธ Synced Lyrics
[00:03.25] Kwanza nimenyoa deni
[00:10.63] Napenda sana mitindo ya nywele
[00:13.15] Kuruka usiseme
[00:15.44] Viwanja vipya ninakaribishwa
[00:17.80] Kwenye kura saa za Insta nakesha
[00:19.96] Nikitafuta tena mabaya
[00:22.07] Nikisikia mabata nataka
[00:24.41] Nalitafuta tena nalipa
[00:27.38] Wala silipi maden, Nikikopa na beti
[00:30.45] Wala sionagi soni
[00:32.61] Fungu la kumi kwangu hio ni stori
[00:35.43] Nasubiri jumapili(Sunday)
[00:37.31] Hata najua sina imani, japo naitikia Amina
[00:41.87] Nasubiria ukitendaga kwanza, ndio nikubali
[00:46.49] Aah kama Yesu najua na idadi ya vitabu najua
[00:51.29] Na yalipo makanisa najua, ila kuhudhuria nashindwa
[00:55.99] Oooh kwa ibada nasinzia, sijui mdudu kaingia
[01:01.32] Ila nikiona bia, nasikia kuchangamkaa
[01:05.33] Oooh kwa ibada nasinzia, sijui mdudu kaingia
[01:10.68] Ila nikiona bia, nasikia kuchangamkaa
[01:15.05] Eeh niko na ubaya, niko na ubaya
[01:19.45] Eeh niko na ubaya, Bwana nibadilishe
[01:24.30] Oooh niko na ubaya, niko na ubaya
[01:28.99] Eeh niko na ubaya, Bwana nibadilishe
[01:33.52] Kuna venye hii movie inanichoma
[01:35.88] Hasa ile parapanda
[01:38.25] Ikipigwa wakizika
[01:40.12] Na appear, sirudii kosa
[01:42.81] Maneno yananichoma
[01:45.02] Binadamu ni maua
[01:47.39] Ikipita wiki moja masikini
[01:49.97] Nasahau kabisa
[01:52.65] Oooh kwa ibada nasinzia, sijui mdudu kaingia
[01:57.64] Ila nikiona bia, nasikia kuchangamkaa
[02:01.71] Oooh kwa ibada nasinzia, sijui mdudu kaingia
[02:07.05] Ila nikiona bia, nasikia kuchangamkaa
[02:11.31] Eeh niko na ubaya, niko na ubaya
[02:14.28] Eeh niko na ubaya, Bwana nibadilishe
[02:20.46] Oooh niko na ubaya, niko na ubaya
[02:25.38] Eeh niko na ubaya, Bwana nibadilishe
[02:29.94] Nakupa maisha na moyo, utakase
[02:34.18] Ninapoanguka nishike nisimame
[02:39.12] Nakupa maisha na moyo, utakase
[02:44.65] Ninapoanguka nishike nisimame
[02:49.16] Eeh niko na ubaya, niko na ubaya
[02:53.81] Eeh niko na ubaya, Bwana nibadilishe
[02:58.55] Oooh niko na ubaya, niko na ubaya
[03:02.45] Eeh niko na ubaya, Bwana nibadilishe
[03:08.33]
[00:10.63] Napenda sana mitindo ya nywele
[00:13.15] Kuruka usiseme
[00:15.44] Viwanja vipya ninakaribishwa
[00:17.80] Kwenye kura saa za Insta nakesha
[00:19.96] Nikitafuta tena mabaya
[00:22.07] Nikisikia mabata nataka
[00:24.41] Nalitafuta tena nalipa
[00:27.38] Wala silipi maden, Nikikopa na beti
[00:30.45] Wala sionagi soni
[00:32.61] Fungu la kumi kwangu hio ni stori
[00:35.43] Nasubiri jumapili(Sunday)
[00:37.31] Hata najua sina imani, japo naitikia Amina
[00:41.87] Nasubiria ukitendaga kwanza, ndio nikubali
[00:46.49] Aah kama Yesu najua na idadi ya vitabu najua
[00:51.29] Na yalipo makanisa najua, ila kuhudhuria nashindwa
[00:55.99] Oooh kwa ibada nasinzia, sijui mdudu kaingia
[01:01.32] Ila nikiona bia, nasikia kuchangamkaa
[01:05.33] Oooh kwa ibada nasinzia, sijui mdudu kaingia
[01:10.68] Ila nikiona bia, nasikia kuchangamkaa
[01:15.05] Eeh niko na ubaya, niko na ubaya
[01:19.45] Eeh niko na ubaya, Bwana nibadilishe
[01:24.30] Oooh niko na ubaya, niko na ubaya
[01:28.99] Eeh niko na ubaya, Bwana nibadilishe
[01:33.52] Kuna venye hii movie inanichoma
[01:35.88] Hasa ile parapanda
[01:38.25] Ikipigwa wakizika
[01:40.12] Na appear, sirudii kosa
[01:42.81] Maneno yananichoma
[01:45.02] Binadamu ni maua
[01:47.39] Ikipita wiki moja masikini
[01:49.97] Nasahau kabisa
[01:52.65] Oooh kwa ibada nasinzia, sijui mdudu kaingia
[01:57.64] Ila nikiona bia, nasikia kuchangamkaa
[02:01.71] Oooh kwa ibada nasinzia, sijui mdudu kaingia
[02:07.05] Ila nikiona bia, nasikia kuchangamkaa
[02:11.31] Eeh niko na ubaya, niko na ubaya
[02:14.28] Eeh niko na ubaya, Bwana nibadilishe
[02:20.46] Oooh niko na ubaya, niko na ubaya
[02:25.38] Eeh niko na ubaya, Bwana nibadilishe
[02:29.94] Nakupa maisha na moyo, utakase
[02:34.18] Ninapoanguka nishike nisimame
[02:39.12] Nakupa maisha na moyo, utakase
[02:44.65] Ninapoanguka nishike nisimame
[02:49.16] Eeh niko na ubaya, niko na ubaya
[02:53.81] Eeh niko na ubaya, Bwana nibadilishe
[02:58.55] Oooh niko na ubaya, niko na ubaya
[03:02.45] Eeh niko na ubaya, Bwana nibadilishe
[03:08.33]