Home ๐ŸŽฌ Bollywood ๐ŸŽต Pakistani ๐ŸŽค English Pop

Nangoja

๐Ÿ‘ค Mathias Walichupa โ€ข ๐ŸŽผ Nangoja โ€ข โฑ๏ธ 4:08
๐ŸŽต 1183 characters
โฑ๏ธ 4:08 duration
๐Ÿ†” ID: 15324254

๐Ÿ“œ Lyrics

Siachi, nitasubiri ahadi zako (Oooh)
Ninautambua, upendo wako
Juu ya maisha yangu (Oouyee)
Ninazitambua, fadhili zako
Za mchana na usiku (Ouwo-uuu)
Hata kwa hili ninalolipitia
Imani yangu ni kwamba litakwisha
Nitalizunguka Rohoni sikusita
Kama Yeriko yasaba litaanguka
Sichoki kukungojea
Najua mawazo mema waniwazia
Siachi kuvumilia
Nitasubiri ahadi zako kutimia
Imani yangu iko kwako we (Ah-ah-ah-ah)
We haushindwi (Ah-ah-ah)
Nakuamini (Nitangoja utende)
Auchelewi, wala auwahi (Ah-ah-ah-ah)
Ooh BWANA (Ah-ah-ah-ah)
Mimi nitangoja (Nitangoja utende)
Ooh-ooe
Chezaa Kompaaaa
Eeh, Kila jambo na wakati wake
Najua na mimi wakati wangu upo
YESU wangu hawezi niacha
Atasimama na mimi (Ouwo-uuu)
Japo nimesikia (Nimesikia)
Maneno nayonenewa (Maneno nayonenewa)
Yakunizuia kunikatisha tamaa, nianguke
Mimi nitalishika, lile uliloniambia
Maana neno lako ni Hakika, utafanya aah
Sichoki kukungojea
Najua mawazo mema waniwazia
Siachi kuvumilia (Nitasubiri)
Nitasubiri ahadi zako kutimia
Mimi nakuamini (Ah-ah-ah-ah)
Nakuamini (Ah-ah-ah)
Hakuna gumu Kwako (Nitangoja utende)
Subira yangu, Nitaiweka kwako(Ah-ah-ah-ah)
Ooyeaa (Ah-ah-ah)
Nitasubiri majira yako (Nitangoja utende)
Chezaa Kompaaaa

โญ Rate These Lyrics

โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†
Average: 0.0/5 โ€ข 0 ratings