Home ๐ŸŽฌ Bollywood ๐ŸŽต Pakistani ๐ŸŽค English Pop

Kesho Kutwa

๐Ÿ‘ค Ethan Muziki โ€ข ๐ŸŽผ Kesho Kutwa โ€ข โฑ๏ธ 4:13
๐ŸŽต 1244 characters
โฑ๏ธ 4:13 duration
๐Ÿ†” ID: 15655766

๐Ÿ“œ Lyrics

Kwangu Kujua na kukua,
Ni lengo la kila kukisha tua
Hivyo hata ukinizungusha
Sioni shida, Utanifundisha
Wakaribu wanatambua
Saa zingine maneno hunisumbua
Huwa yanikataa
Huwa yanihadaa

Lakini we, ona ninapaa
Ndege ushanifanya
Ukipandisha bei, unajua nitafika
Na nitapita yie
Lakini we, ona ninapaa
Ndege ushanifanya
Ukipandisha bei, unajua nitafika

Hata Kesho Kutwa, tutapendana
Na usiku kucha, tutapendana
Hata kesho Kutwa, tutapendana
Na usiku kucha, tutapendana

Wewe unanijua, gizani umenitoa
Sikudhani ningetoboa
Ni Mara ngapi nilikwama?
Ni Mara ngapi? Umechagua niwe na we'!
Na siwezi ngoja kwenda kwenye goti,
Nikuvishe pete dunia i-notice

Vile ninapaa, ndege ushanifanya
Ukipandisha bei, unajua nitafika
Na nitapita yie
Lakini we, ona ninapaa
Ndege ushanifanya
Ukipandisha bei, unajua nitafika

Hata Kesho Kutwa, tutapendana
Na usiku kucha, tutapendana
Hata kesho Kutwa, tutapendana
Na usiku kucha, tutapendana

Ooh, I promise to love you
You inspire me
You...

Oh yes, oh yes, oh yes!
We've given love a chance
Niwe na we', na we'!
(love is always in us)

Sometimes we fall in love,
Love is always in us
Sometimes we fall in love
Love is always in us.

Hata Kesho Kutwa,
Na Usiku... Na usiku
Kesho, kesho, kesho!
Na usiku,
Tutapenda.

โฑ๏ธ Synced Lyrics

[00:16.24] Kwangu Kujua na kukua,
[00:18.98] Ni lengo la kila kukisha tua
[00:22.55] Hivyo hata ukinizungusha
[00:24.83] Sioni shida, Utanifundisha
[00:28.73] Wakaribu wanatambua
[00:31.18] Saa zingine maneno hunisumbua
[00:34.66] Huwa yanikataa
[00:36.95] Huwa yanihadaa
[00:39.67] Lakini we, ona ninapaa
[00:42.82] Ndege ushanifanya
[00:45.21] Ukipandisha bei, unajua nitafika
[00:49.31] Na nitapita yie
[00:51.74] Lakini we, ona ninapaa
[00:55.16] Ndege ushanifanya
[00:57.62] Ukipandisha bei, unajua nitafika
[01:03.12] Hata Kesho Kutwa, tutapendana
[01:09.03] Na usiku kucha, tutapendana
[01:15.21] Hata kesho Kutwa, tutapendana
[01:21.47] Na usiku kucha, tutapendana
[01:27.14]
[01:29.52] Wewe unanijua, gizani umenitoa
[01:35.53] Sikudhani ningetoboa
[01:39.13] Ni Mara ngapi nilikwama?
[01:42.18] Ni Mara ngapi? Umechagua niwe na we'!
[01:48.25] Na siwezi ngoja kwenda kwenye goti,
[01:51.49] Nikuvishe pete dunia i-notice
[01:55.24] Vile ninapaa, ndege ushanifanya
[01:59.19] Ukipandisha bei, unajua nitafika
[02:03.27] Na nitapita yie
[02:05.78] Lakini we, ona ninapaa
[02:08.98] Ndege ushanifanya
[02:11.40] Ukipandisha bei, unajua nitafika
[02:16.93] Hata Kesho Kutwa, tutapendana
[02:23.07] Na usiku kucha, tutapendana
[02:29.06] Hata kesho Kutwa, tutapendana
[02:35.26] Na usiku kucha, tutapendana
[02:41.86]
[02:44.51] Ooh, I promise to love you
[02:49.44] You inspire me
[02:52.02] You...
[02:54.87] Oh yes, oh yes, oh yes!
[03:00.61] We've given love a chance
[03:06.95] Niwe na we', na we'!
[03:12.08] (Love is always in us)
[03:15.33] Sometimes we fall in love,
[03:19.23]
[03:21.49] Love is always in us
[03:27.55] Sometimes we fall in love
[03:33.66] Love is always in us.
[03:38.61] Hata Kesho Kutwa,
[03:42.42]
[03:44.98] Na Usiku... Na usiku
[03:53.57] Kesho, kesho, kesho!
[04:00.69] Na usiku,
[04:04.11] Tutapenda.
[04:06.90]

โญ Rate These Lyrics

โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†
Average: 0.0/5 โ€ข 0 ratings