Home ๐ŸŽฌ Bollywood ๐ŸŽต Pakistani ๐ŸŽค English Pop

DIAMOND PLATNUMZ, HARMONIZE, RICH MAVOKO, RAYVANNY - ZILIPENDWA (OFFICIAL VIDEO)

๐Ÿ‘ค Diamond Platnumz โ€ข ๐ŸŽผ Diamond Platnumz Videos โ€ข โฑ๏ธ 5:26
๐ŸŽต 3650 characters
โฑ๏ธ 5:26 duration
๐Ÿ†” ID: 16131058

๐Ÿ“œ Lyrics

Oooh! hizo ni zama za kale
Oooh! Sangulo na pepe kale,
Zilipendwa
Eh! Kizamani, kutoa card na maua (zilipendwa)
Wanataka money ukilipa unakwarua (zilipendwa)
Ufundi kitandani, sio maguvu kujikamua (zilipendwa)
Unafika ndani, hujatomasa unachanua (zilipendwa)

Wanawake wa leo wanataka mikakati
Ukiwa mzugaji haki ya mungu huwapati (zilipendwa)
Mapenzi ya video yatakutoa kamasi
Eti nikinywa maji nakuona kwenye glass (zilipendwa)

Eeh! kupiga chabo getto (zilipendwa)
Mkono na dettol (zilipendwa)
Sunche na kapeto (zilipendwa)
Majay na Mobeto (zilipendwa)

Oooh! Hizo ni zama za kale
Oooh! Sangulo na Pepe kale
Mmm bolingo ndombolo (zilipendwa)
Twanga chipolopolo (zilipendwa)
Na maji ya kandoro (zilipendwa)
Simba wa Morogoro (zilipendwa)

Tani sipati sukari guru kabisa (zilipendwa)
Hivi yuko wapi Mb Dogg wa Latifa (zilipendwa)
Babu Tale wapi papa misifa (zilipendwa)
Siku hizi party hatuendagi Ibiza (zilipendwa)

Mpira na Pele (zilipendwa)
Tanu na Nyerere (zilipendwa)
Asha Ngedere (zilipendwa)
Arusi mabele (zilipendwa)

Eti Uuze nyumba uweke heshima bar
Eti Ulazimishe aliyekukataa
Sabuni Kicherema (zilipendwa)
Mabanda ya Cinema (zilipendwa)
Lipumba na lema (zilipendwa)
Diamond na Wema (zilipendwa)

Ooh hizo ni zama za kale (zama za zamani)
Ooh Sangulo na pepe kale (yoyoyo)
Mmm... na sogi dogg(zilipendwa)
Chanel analogy (zilipendwa)
Movie za saibogy (zilipendwa)
Van Dame, Anod (zilipendwa)

Una nibeep nikupigie umeiweka vocha (haloo)
Ule wewe nilipe mie umeniona Lofa
Tena na madada wenye majina acheni visa
Unaitwa ukale diner mnakwenda Tisa

Nywele za kichina (zilipendwa)
Pochi za kuazima (zilipendwa)
Zena na betina (zilipendwa)
Bashite gwajima (zilipendwa)

Ooh hizo ni zama za kale (zama za zamani)
Ooh Sangulo na pepe kale (yoyoyo)
Mmm Amitabh Bachchan (zilipendwa)
Tv kwa jirani(zilipendwa)
Madee Rayvany (zilipendwa)
Zari Ivan (zilipendwa)

Yanini kunichunguza naish wapi (zilipendwa)
Nala, chapati kwa maini au makange (zilipendwa)
Kutwa kunikalia chini unakamati
Oh ya Rabi masikini kuni dhihaki

Ah sampamba pangala (zilipendwa)
P Funk Kajala (zilipendwa)
Onyango na Jangala (zilipendwa)
Rufufu mkandala (zilipendwa)

Vya nini vidomo domo tutupiane tunguli
Kisa pesa za mkopo msimu wa Magufuli
Ah, Bongoman yondo (zilipendwa)
Sikinde Msondo (zilipendwa)
Magari ya Udongo (zilipendwa)

Babu wa Loliondo (zilipendwa)
Ooh hizo ni zama za kale (zilivumaga sana)
Ooh Sangulo na pepe kale (yoyoyo)
Ah Tv za kichogo (zilipendwa)
Wakina Man Dojo (zilipendwa)
____na Iyobo (zilipendwa)
Akina Hatupogo (zilipendwa)

Eti msiba ukiona Bundi unataka kupagawa
Tulale makundi makundi kuogopa popo bawa
Zuwena nitampata wapi (zilipendwa)
Zuwena wa zile nyakati eh (zilipendwa)

Kujifanya mapanga sunna wamepinda
Wengine wabeba vyuma na hakuna marinda
Iddi Amini dada(zilipendwa)
Miuno ya H Baba (zilipendwa)
Domo Chai Jabba (zilipendwa)
Michezo ya kibaba baba (zilipendwa)

Wale wapiga deal sasa hali mbaya (zilipendwa)
Hizi zama za Magufuli si za Jakaya (zilipendwa)
Ugomvi wa Mr.Nice na Dudu Baya (zilipendwa)
Vikatuni vya madenge baba ubaya (zilipendwa)
Muhogo mchungu mr.bean, wapi bambo (zilipendwa)

Wale wazamiaji wale wa melini wazee wang'ambo
Hivi yuko wapi Banjamini wa Mambo Jambo
Wa Vietnam waporini vita na Rambo
Eh ndanda Mjela jela (zilipendwa)
Kidali Kombolela (zilipendwa)
Max na Zembwela (zilipendwa)
Juma Nature na fela (zilipendwa)

Ooh hizo ni zama za kale (zama za zamani)
Ooh Sangulo na pepe kale (yoyoyo)
Mmm kamanda Daz Nunda (zilipendwa)
Kalumanzila Ndumba (zilipendwa)
Simu za Dole gumba (zilipendwa)
Johari na Kanumba (zilipendwa)

Wasafii
Zilipendwa, zilipendwa
Zilipendwa, zilipendwa
Ohlilelelileeee
Zilipendwa

โฑ๏ธ Synced Lyrics

[00:08.15] Oooh! hizo ni zama za kale
[00:10.95] Oooh! Sangulo na pepe kale,
[00:14.77] Zilipendwa
[00:21.47] Eh! Kizamani, kutoa card na maua (zilipendwa)
[00:26.34] Wanataka money ukilipa unakwarua (zilipendwa)
[00:30.07] Ufundi kitandani, sio maguvu kujikamua (zilipendwa)
[00:33.67] Unafika ndani, hujatomasa unachanua (zilipendwa)
[00:37.28] Wanawake wa leo wanataka mikakati
[00:40.63] Ukiwa mzugaji haki ya mungu huwapati (zilipendwa)
[00:44.53] Mapenzi ya video yatakutoa kamasi
[00:48.28] Eti nikinywa maji nakuona kwenye glass (zilipendwa)
[00:51.96] Eeh! kupiga chabo getto (zilipendwa)
[00:54.02] Mkono na dettol (zilipendwa)
[00:55.77] Sunche na kapeto (zilipendwa)
[00:57.52] Majay na Mobeto (zilipendwa)
[00:59.36] Oooh! Hizo ni zama za kale
[01:02.90] Oooh! Sangulo na Pepe kale
[01:06.27] Mmm bolingo ndombolo (zilipendwa)
[01:08.73] Twanga chipolopolo (zilipendwa)
[01:10.46] Na maji ya kandoro (zilipendwa)
[01:12.37] Simba wa Morogoro (zilipendwa)
[01:14.31] Tani sipati sukari guru kabisa (zilipendwa)
[01:17.79] Hivi yuko wapi Mb Dogg wa Latifa (zilipendwa)
[01:21.53] Babu Tale wapi papa misifa (zilipendwa)
[01:25.32] Siku hizi party hatuendagi Ibiza (zilipendwa)
[01:28.77] Mpira na Pele (zilipendwa)
[01:30.62] Tanu na Nyerere (zilipendwa)
[01:32.53] Asha Ngedere (zilipendwa)
[01:34.54] Arusi mabele (zilipendwa)
[01:36.43] Eti Uuze nyumba uweke heshima bar
[01:39.79] Eti Ulazimishe aliyekukataa
[01:43.29] Sabuni Kicherema (zilipendwa)
[01:45.39] Mabanda ya Cinema (zilipendwa)
[01:47.26] Lipumba na lema (zilipendwa)
[01:49.16] Diamond na Wema (zilipendwa)
[01:51.13] Ooh hizo ni zama za kale (zama za zamani)
[01:54.84] Ooh Sangulo na pepe kale (yoyoyo)
[01:58.44] Mmm... na sogi dogg(zilipendwa)
[02:00.22] Chanel analogy (zilipendwa)
[02:01.97] Movie za saibogy (zilipendwa)
[02:03.88] Van Dame, Anod (zilipendwa)
[02:05.50] Una nibeep nikupigie umeiweka vocha (haloo)
[02:09.54] Ule wewe nilipe mie umeniona Lofa
[02:13.30] Tena na madada wenye majina acheni visa
[02:16.67] Unaitwa ukale diner mnakwenda Tisa
[02:20.66] Nywele za kichina (zilipendwa)
[02:22.67] Pochi za kuazima (zilipendwa)
[02:24.37] Zena na betina (zilipendwa)
[02:26.14] Bashite gwajima (zilipendwa)
[02:27.40] Ooh hizo ni zama za kale (zama za zamani)
[02:30.43] Ooh Sangulo na pepe kale (yoyoyo)
[02:35.00] Mmm Amitabh Bachchan (zilipendwa)
[02:37.23] Tv kwa jirani(zilipendwa)
[02:39.03] Madee Rayvany (zilipendwa)
[02:40.95] Zari Ivan (zilipendwa)
[02:42.74] Yanini kunichunguza naish wapi (zilipendwa)
[02:46.31] Nala, chapati kwa maini au makange (zilipendwa)
[02:49.86] Kutwa kunikalia chini unakamati
[02:53.58] Oh ya Rabi masikini kuni dhihaki
[02:57.06] Ah sampamba pangala (zilipendwa)
[02:59.49] P Funk Kajala (zilipendwa)
[03:01.17] Onyango na Jangala (zilipendwa)
[03:02.85] Rufufu mkandala (zilipendwa)
[03:04.78] Vya nini vidomo domo tutupiane tunguli
[03:08.44] Kisa pesa za mkopo msimu wa Magufuli
[03:12.22] Ah, Bongoman yondo (zilipendwa)
[03:14.02] Sikinde Msondo (zilipendwa)
[03:15.88] Magari ya Udongo (zilipendwa)
[03:17.77] Babu wa Loliondo (zilipendwa)
[03:19.64] Ooh hizo ni zama za kale (zilivumaga sana)
[03:23.26] Ooh Sangulo na pepe kale (yoyoyo)
[03:26.65] Ah Tv za kichogo (zilipendwa)
[03:28.84] Wakina Man Dojo (zilipendwa)
[03:30.60] ____na Iyobo (zilipendwa)
[03:32.46] Akina Hatupogo (zilipendwa)
[03:34.91] Eti msiba ukiona Bundi unataka kupagawa
[03:38.07] Tulale makundi makundi kuogopa popo bawa
[03:41.93] Zuwena nitampata wapi (zilipendwa)
[03:45.28] Zuwena wa zile nyakati eh (zilipendwa)
[03:48.91] Kujifanya mapanga sunna wamepinda
[03:52.84] Wengine wabeba vyuma na hakuna marinda
[03:56.52] Iddi Amini dada(zilipendwa)
[03:58.51] Miuno ya H Baba (zilipendwa)
[04:00.16] Domo Chai Jabba (zilipendwa)
[04:02.06] Michezo ya kibaba baba (zilipendwa)
[04:03.75] Wale wapiga deal sasa hali mbaya (zilipendwa)
[04:07.41] Hizi zama za Magufuli si za Jakaya (zilipendwa)
[04:11.27] Ugomvi wa Mr.Nice na Dudu Baya (zilipendwa)
[04:14.82] Vikatuni vya madenge baba ubaya (zilipendwa)
[04:18.80] Muhogo mchungu mr.bean, wapi bambo (zilipendwa)
[04:23.34] Wale wazamiaji wale wa melini wazee wang'ambo
[04:26.32] Hivi yuko wapi Banjamini wa Mambo Jambo
[04:29.77] Wa Vietnam waporini vita na Rambo
[04:33.79] Eh ndanda Mjela jela (zilipendwa)
[04:35.30] Kidali Kombolela (zilipendwa)
[04:37.11] Max na Zembwela (zilipendwa)
[04:38.92] Juma Nature na fela (zilipendwa)
[04:40.73] Ooh hizo ni zama za kale (zama za zamani)
[04:44.60] Ooh Sangulo na pepe kale (yoyoyo)
[04:47.89] Mmm kamanda Daz Nunda (zilipendwa)
[04:50.26] Kalumanzila Ndumba (zilipendwa)
[04:51.86] Simu za Dole gumba (zilipendwa)
[04:53.65] Johari na Kanumba (zilipendwa)
[04:55.41] Wasafii
[05:04.04]
[05:09.78] Zilipendwa, zilipendwa
[05:14.41] Zilipendwa, zilipendwa
[05:18.12] Ohlilelelileeee
[05:21.04] Zilipendwa
[05:21.47]

โญ Rate These Lyrics

โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†
Average: 0.0/5 โ€ข 0 ratings