Home ๐ŸŽฌ Bollywood ๐ŸŽต Pakistani ๐ŸŽค English Pop

Mimi Mars ft. Marioo x Young Lunya - Una | DJMwanga.com

๐Ÿ‘ค Mimi Mars โ€ข ๐ŸŽผ DJMwanga.com โ€ข โฑ๏ธ 3:26
๐ŸŽต 1746 characters
โฑ๏ธ 3:26 duration
๐Ÿ†” ID: 25061343

๐Ÿ“œ Lyrics

Na anajiamini
Halali nje analala na mimi
Ndani ndani
Wengine wa nini, yeiye
Anadata anavyopewa na mimi
Chumbani chumbani

Una (una una)
Unanichanganya (una una)
Unavyonifanya (una una)
Unanichanganya sana

Tena ukinigusaga
Na kunipazaga
Unanichanganya sana

Ukinigusa napagawa kote
Unanichanganya unavyonipa vyote
Ukinigusa napagawa kote
Unanichanganya unavyonipa vyote

Ukinigusa napagawa kote
Unanichanganya unavyonipa vyote
Ukinigusa napagawa kote
Unanichanganya unanichanganya

Weka niweke wee
Weka niweke wee
Weka niweke wee
Weka niweke wee

Hata kama nitakosea
Usininunie beiby, niambie
Bana si unajua mwanadamu
Niambie

Na unavyoninogesha ukija kuacha
Mwenzako nitajutia
Utanitoa roho, utanitoa roho

Habari za mjini kwani nini wee
Natoka na mimi kwani nini wee
Mchezo mchezo na baby wa mimi wee
Tulipotoka wanajua ni nini wee

Sema ukweli nishampata, nishamnasa
Alafu sasa na kwenye bedi mtamu haswa
Chuma mimi ila sumaku ishamnasa
Pelekeni angaza huo wenu ushauri na sasa

Anavyozungusha hicho kiuno
Mimi ndo nazidisha miguno
Wanapataka sasa unavyowapatia michuno
Kwani hawapati usingizi wakisikia miguno

Una (una una)
Unanichanganya (una una)
Unavyonifanya (una una)
Unanichanganya sana

Tena ukinigusaga
Na kunipazaga
Unanichanganya sana

Ukinigusa napagawa kote
Unanichanganya unavyonipa vyote
Ukinigusa napagawa kote
Unanichanganya unavyonipa vyote

Ukinigusa napagawa kote
Unanichanganya unavyonipa vyote
Ukinigusa napagawa kote
Unanichanganya unanichanganya

Weka niweke wee
Weka niweke wee
Weka niweke wee
Weka niweke wee

Umenishika pabaya
Umenishika pabaya (oooh yeah babe)
Umenishika pabaya
We bwana ni mbaya

Umenishika pabaya
Umenishika pabaya (aaah aah)
Umenishika pabaya
We dada ni mbaya

Una una, una una
Una una, una una

โฑ๏ธ Synced Lyrics

[00:08.39] Na anajiamini
[00:11.90] Halali nje analala na mimi
[00:16.58] Ndani ndani
[00:18.99] Wengine wa nini, yeiye
[00:22.75] Anadata anavyopewa na mimi
[00:25.95] Chumbani chumbani
[00:29.29] Una (una una)
[00:30.84] Unanichanganya (una una)
[00:33.21] Unavyonifanya (una una)
[00:35.99] Unanichanganya sana
[00:38.95] Tena ukinigusaga
[00:43.13] Na kunipazaga
[00:45.52] Unanichanganya sana
[00:48.05] Ukinigusa napagawa kote
[00:50.58] Unanichanganya unavyonipa vyote
[00:52.75] Ukinigusa napagawa kote
[00:55.49] Unanichanganya unavyonipa vyote
[00:58.05] Ukinigusa napagawa kote
[01:00.55] Unanichanganya unavyonipa vyote
[01:02.99] Ukinigusa napagawa kote
[01:04.99] Unanichanganya unanichanganya
[01:08.15] Weka niweke wee
[01:11.04] Weka niweke wee
[01:13.11] Weka niweke wee
[01:15.84] Weka niweke wee
[01:18.66] Hata kama nitakosea
[01:20.65] Usininunie beiby, niambie
[01:24.06] Bana si unajua mwanadamu
[01:26.30] Niambie
[01:27.96] Na unavyoninogesha ukija kuacha
[01:31.41] Mwenzako nitajutia
[01:34.19] Utanitoa roho, utanitoa roho
[01:37.27] Habari za mjini kwani nini wee
[01:39.58] Natoka na mimi kwani nini wee
[01:42.38] Mchezo mchezo na baby wa mimi wee
[01:44.22] Tulipotoka wanajua ni nini wee
[01:47.03] Sema ukweli nishampata, nishamnasa
[01:49.28] Alafu sasa na kwenye bedi mtamu haswa
[01:52.27] Chuma mimi ila sumaku ishamnasa
[01:54.64] Pelekeni angaza huo wenu ushauri na sasa
[01:58.06] Anavyozungusha hicho kiuno
[01:59.72] Mimi ndo nazidisha miguno
[02:02.66] Wanapataka sasa unavyowapatia michuno
[02:05.09] Kwani hawapati usingizi wakisikia miguno
[02:07.47] Una (una una)
[02:09.06] Unanichanganya (una una)
[02:11.74] Unavyonifanya (una una)
[02:13.74] Unanichanganya sana
[02:17.10] Tena ukinigusaga
[02:21.28] Na kunipazaga
[02:23.94] Unanichanganya sana
[02:25.90] Ukinigusa napagawa kote
[02:28.64] Unanichanganya unavyonipa vyote
[02:30.98] Ukinigusa napagawa kote
[02:33.52] Unanichanganya unavyonipa vyote
[02:35.66] Ukinigusa napagawa kote
[02:38.26] Unanichanganya unavyonipa vyote
[02:40.97] Ukinigusa napagawa kote
[02:43.22] Unanichanganya unanichanganya
[02:46.85] Weka niweke wee
[02:48.84] Weka niweke wee
[02:51.43] Weka niweke wee
[02:53.94] Weka niweke wee
[02:56.61] Umenishika pabaya
[02:58.30] Umenishika pabaya (oooh yeah babe)
[03:01.61] Umenishika pabaya
[03:03.62] We bwana ni mbaya
[03:06.33] Umenishika pabaya
[03:08.49] Umenishika pabaya (aaah aah)
[03:11.09] Umenishika pabaya
[03:13.37] We dada ni mbaya
[03:15.95] Una una, una una
[03:21.01] Una una, una una
[03:24.74]

โญ Rate These Lyrics

โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†
Average: 0.0/5 โ€ข 0 ratings