Home ๐ŸŽฌ Bollywood ๐ŸŽต Pakistani ๐ŸŽค English Pop

4.Vile Naskia (feat. Wyre)

๐Ÿ‘ค Jua Cali โ€ข ๐ŸŽผ Mali Ya Umma โ€ข โฑ๏ธ 4:30
๐ŸŽต 2041 characters
โฑ๏ธ 4:30 duration
๐Ÿ†” ID: 3186429

๐Ÿ“œ Lyrics

Vile nahisi nikimwona, najua nina mali
Wakituona wauliza mbona, mbona hatukosani?
Nishampata, mpata, mpata yule
Ashanipata, nipata, nipata mie

Nimekuwa naget feeling flani noma
Nimekuwa naskia roho yangu ikigonga
Nikikuona naskia fiti
Tukiongea jo siamini

Uliamua aje kunikubali
Mtoto wa kibabe na me mtu wa mtaani
Kiswahili ngumu lakini tunaelewana
Kizungu ngumu lakini tunaskizana

Pole pole tunazidi kupendana
Vita kwa wingi na bado tunasameheana
Nani angefikiria ingekua hivi
Baada ya miaka saba na bado uko na mimi

Wacha waongee watanyamaza
Wacha wabonge watalala
Mi nakuambia hawajui vile we unaskia
Na hawajui vile mi naskia

Vile nahisi nikimwona, najua nina mali
Wakituona wauliza mbona, mbona hatukosani?
Nishampata, mpata, mpata yule
Ashanipata, nipata, nipata mie

Ukiumwa na kichwa mi ndio dawa
Tuliza usibebe vitu mzito sana
Leo siku yako wacha ikubambe
Wacha kila kitu isimame

Simu inalia ambia boy atulie
Alisharushwa atafute mwengine
Leo napitia Mathako tumsalimie
Mbuyu baadaye tumskizie

Usisahau kuvaa zile viatu noma
Usisahau nitaku-massage ukichoka
Usisahau huku nje kuna manyoka
Na usisahau wakitusumbua tunawatoka

Wacha waongee watanyamaza
Wacha wabonge watalala
Mi nakuambia hawajui vile we unaskia
Na hawajui vile mi naskia

Vile nahisi nikimwona, najua nina mali
Wakituona wauliza mbona, mbona hatukosani?
Nishampata, mpata, mpata yule
Ashanipata, nipata, nipata mie

Shida zikikutafash we niambie
Hata ka ni noma aje usinyamazie
Ukifunga mdomo utashiba aje
Ukifunga maskio utaskia aje

Naona tuanze kuishi pamoja
Na watoi ka fifteen wakikimbia kwa boma
Lakini kabla hiyo pete kwa mkono
Halafu nakupanguza machozi na mkono

We endelea kulia ukitaka
We endelea kunishikilia ukitaka
We endelea usione haya
Na we endelea hata ka wanatuangalia sana

Wacha waonge watanyamaza
Wacha wabonge watalala
Mi nakuambia hawajui vile we unaskia
Na hawajui vile mi naskia

Vile nahisi nikimwona, najua nina mali
Wakituona wauliza mbona, mbona hatukosani?
Nishampata, mpata, mpata yule
Ashanipata, nipata, nipata mie

Yule...

โญ Rate These Lyrics

โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†
Average: 0.0/5 โ€ข 0 ratings