Haufananishwi (Live)
๐ต 1329 characters
โฑ๏ธ 4:59 duration
๐ ID: 3186769
๐ Lyrics
Haufananishwi, haufananishwi asante bwana
Wewe ni mungu, mpasua bahari
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine
Wewe ni mungu, mtuliza mawimbi
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine
Wewe ni mungu, mpasua bahari
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine
Wewe ni mungu, mtuliza mawimbi
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine
Unafanya mambo ambayo
Mwanadamu hawezi kufanya
Unatoa faraja ambayo
Mwanadamu hawezi kutoa
Unafanya mambo ambayo
Mwanadamu hawezi kufanya
Unatoa faraja ambayo
Mwanadamu hawezi kutoa
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine
Si mwepesi wa hasira
Unaghairi mabaya
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine
Mungu mwenye wivu
Unatunza maagano.
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine
Katikati ya dhahabu
Unakumbuka rehema
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine
Unafanya mambo ambayo
Mwanadamu hawezi kufanya
Unatoa faraja ambayo
Mwanadamu hawezi kutoa
Unafanya mambo ambayo
Mwanadamu hawezi kufanya
Unatoa faraja ambayo
Mwanadamu hawezi kutoa
Unafanya mambo ambayo
Mwanadamu hawezi kufanya
Unatoa faraja ambayo
Mwanadamu hawezi kutoa
Unafanya mambo ambayo
Mwanadamu hawezi kufanya
Wewe ni mungu, mpasua bahari
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine
Wewe ni mungu, mtuliza mawimbi
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine
Wewe ni mungu, mpasua bahari
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine
Wewe ni mungu, mtuliza mawimbi
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine
Unafanya mambo ambayo
Mwanadamu hawezi kufanya
Unatoa faraja ambayo
Mwanadamu hawezi kutoa
Unafanya mambo ambayo
Mwanadamu hawezi kufanya
Unatoa faraja ambayo
Mwanadamu hawezi kutoa
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine
Si mwepesi wa hasira
Unaghairi mabaya
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine
Mungu mwenye wivu
Unatunza maagano.
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine
Katikati ya dhahabu
Unakumbuka rehema
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine
Unafanya mambo ambayo
Mwanadamu hawezi kufanya
Unatoa faraja ambayo
Mwanadamu hawezi kutoa
Unafanya mambo ambayo
Mwanadamu hawezi kufanya
Unatoa faraja ambayo
Mwanadamu hawezi kutoa
Unafanya mambo ambayo
Mwanadamu hawezi kufanya
Unatoa faraja ambayo
Mwanadamu hawezi kutoa
Unafanya mambo ambayo
Mwanadamu hawezi kufanya