Home ๐ŸŽฌ Bollywood ๐ŸŽต Pakistani ๐ŸŽค English Pop

Mtaje

๐Ÿ‘ค Harmonize โ€ข ๐ŸŽผ High School โ€ข โฑ๏ธ 3:46
๐ŸŽต 1528 characters
โฑ๏ธ 3:46 duration
๐Ÿ†” ID: 3187291

๐Ÿ“œ Lyrics

Big boy

Mmmmh mmhh
Anakasura ka upolee
Miaka nenda rudi hazeeki
Tena ni mtu wa Gym Gym
Shepu ndo linanipa wazimu zimu
Na tattoo nimchoree
Ila ndo hivo tena hapendekiii

Amakweli mapenzi hayana mwalimu
Wengine hata kuniona ni adimu
Hivi tuseme anangekewa
Ama nyota yake kali ananizidi
Ama mjini nimechelewa
Mbona wengine wanamponda wanamwita bibi

Nilianza kumuona mapema
Enzi za mabanda ya sinema
Alikuaga ni rafiki na wema she's so beauu
Acha wanione mshamba tuu
Tuta huwezi kulipigia hona
Umri nao ni namba tuu
Kinacho niuma anajifanya Haoni

Kama unamjua (mtajee)
Nani anemjua (mtajee)
Kama unamjua (mtaje)
Avimbe kichwa ajisifie

Basi kama unamjua (mtaje)
Kama unamjua (mtajee)
Kama unamjua (mtaje)
Avimbe kichwa ajisifie (mmh mmh mmh)

Mmh! Anaelenga kwa rula
Sikuzote ndo apataye
Mwambieni mwanangu paula
Minampenda mamae

Tena ni fundi wa kuchanua aah
Utasema samaki Ng'onda
Hapo ndo nikagundua ah
Nini kiliwaliza makonda

Wa dala dala dala
Mi nashindwa kulala lala lala
Hana mbadala dala dala
Anaitwa ka ka eeeh

Hakika ye ndo kiboko yangu
Jua likiwaka ikinyeshaaaa
Utembo na ujeshi wangu
Getini kwake nilikesha

Mtihani wa mapenzi hakuna aliyefuzu
Sawa unywe pombe na useme una Udhu
Na mtu ukishapenda unakua Zuzu
Eti nawaza aje kua mama zuzu

Kama unamjua (mtaje)
Kama unamjua (mtaje)
Kama unamju (mtaje)
Mmh! Avimbe kichwa ajisifie

Eeeh, big boy na migoo wanamjua
Cha upole anamjua
Anko Duke Naye anamjua
Sara boy na tembo wanamjua
Elizakiel wamipango anamjua
Kigipopa mzambele wanamjua
Eeh eeh eeh (mixed by sonic)

โฑ๏ธ Synced Lyrics

[00:07.98] Big boy
[00:09.74]
[00:15.09]
[00:34.02] Mmmmh mmhh
[00:36.32] Anakasura ka upolee
[00:38.98] Miaka nenda rudi hazeeki
[00:41.58] Tena ni mtu wa Gym Gym
[00:43.80] Shepu ndo linanipa wazimu zimu
[00:46.60] Na tattoo nimchoree
[00:48.16] Ila ndo hivo tena hapendekiii
[00:51.23] Amakweli mapenzi hayana mwalimu
[00:53.66] Wengine hata kuniona ni adimu
[00:56.02] Hivi tuseme anangekewa
[00:57.35] Ama nyota yake kali ananizidi
[01:01.05] Ama mjini nimechelewa
[01:02.88] Mbona wengine wanamponda wanamwita bibi
[01:05.97] Nilianza kumuona mapema
[01:08.06] Enzi za mabanda ya sinema
[01:10.47] Alikuaga ni rafiki na wema she's so beauu
[01:15.76] Acha wanione mshamba tuu
[01:17.52] Tuta huwezi kulipigia hona
[01:20.11] Umri nao ni namba tuu
[01:22.55] Kinacho niuma anajifanya Haoni
[01:25.14] Kama unamjua (mtajee)
[01:27.18] Nani anemjua (mtajee)
[01:29.75] Kama unamjua (mtaje)
[01:31.89] Avimbe kichwa ajisifie
[01:34.52] Basi kama unamjua (mtaje)
[01:36.88] Kama unamjua (mtajee)
[01:39.23] Kama unamjua (mtaje)
[01:41.68] Avimbe kichwa ajisifie (mmh mmh mmh)
[01:45.58]
[02:01.25] Mmh! Anaelenga kwa rula
[02:05.73] Sikuzote ndo apataye
[02:08.37] Mwambieni mwanangu paula
[02:10.47] Minampenda mamae
[02:13.25] Tena ni fundi wa kuchanua aah
[02:15.47] Utasema samaki Ng'onda
[02:17.86] Hapo ndo nikagundua ah
[02:20.25] Nini kiliwaliza makonda
[02:22.56] Wa dala dala dala
[02:25.23] Mi nashindwa kulala lala lala
[02:27.39] Hana mbadala dala dala
[02:29.63] Anaitwa ka ka eeeh
[02:32.65] Hakika ye ndo kiboko yangu
[02:34.54] Jua likiwaka ikinyeshaaaa
[02:36.58] Utembo na ujeshi wangu
[02:38.94] Getini kwake nilikesha
[02:40.93] Mtihani wa mapenzi hakuna aliyefuzu
[02:43.65] Sawa unywe pombe na useme una Udhu
[02:46.30] Na mtu ukishapenda unakua Zuzu
[02:49.08] Eti nawaza aje kua mama zuzu
[02:51.77] Kama unamjua (mtaje)
[02:53.72] Kama unamjua (mtaje)
[02:55.93] Kama unamju (mtaje)
[02:58.02] Mmh! Avimbe kichwa ajisifie
[03:01.09]
[03:19.41] Eeeh, big boy na migoo wanamjua
[03:23.29] Cha upole anamjua
[03:25.41] Anko Duke Naye anamjua
[03:28.23] Sara boy na tembo wanamjua
[03:30.17] Elizakiel wamipango anamjua
[03:32.65] Kigipopa mzambele wanamjua
[03:35.42] Eeh eeh eeh (mixed by sonic)
[03:37.32]

โญ Rate These Lyrics

โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†
Average: 0.0/5 โ€ข 0 ratings