Nakutazama
๐ต 235 characters
โฑ๏ธ 7:27 duration
๐ ID: 3187366
๐ Lyrics
Nakutazamia eeh Baba wa mbinguni
Nakungojea ktika siku zngu za taabu
Wewe ndiye faraj ya kweli msaada wa ajabu
Nitakungoja kama sio leo kesho na milele
Wewe huchelewi wala huwahi katika
Ahadi zako kwa waja wako
Ee baba sikia ombi langu
Nakungojea ktika siku zngu za taabu
Wewe ndiye faraj ya kweli msaada wa ajabu
Nitakungoja kama sio leo kesho na milele
Wewe huchelewi wala huwahi katika
Ahadi zako kwa waja wako
Ee baba sikia ombi langu