Siri
๐ต 658 characters
โฑ๏ธ 3:56 duration
๐ ID: 3187797
๐ Lyrics
Kama Mungu angechangua watu wake
Mimi singekuwepo duniani
Kama Mungu angechagua watakatifu
Mimi singekuwepo duniani
Mimi binadamu, wala si malaika
Mengi nimekosea na kukuchukiza
Mi nafanya mambo yasiyo stahili
Nimevuruga vuruga mipango yako
Wanihurumia
Mbele ya macho ya wanadamu
Nilikuwa nikijificha
Kumbe wewe waniona
Kwa kujifanya mtakatifu
Tena bingwa mkarimu
Tena mpole sana
Sikio lako, yanisikia
Siwezi jificha
Sasa nimetambua, mbivu na mbichi ni zipi
Sasa ninaelewa, njia salama ni wapi
Na nimejua bila ya wewe sifiki
Hata nikila pasipo neno lako sishibi
Neema yako, ila kwa neema yako
Upendo wako, kwa upendo wako
Rehema zako zimeniimarisha tena
Mimi singekuwepo duniani
Kama Mungu angechagua watakatifu
Mimi singekuwepo duniani
Mimi binadamu, wala si malaika
Mengi nimekosea na kukuchukiza
Mi nafanya mambo yasiyo stahili
Nimevuruga vuruga mipango yako
Wanihurumia
Mbele ya macho ya wanadamu
Nilikuwa nikijificha
Kumbe wewe waniona
Kwa kujifanya mtakatifu
Tena bingwa mkarimu
Tena mpole sana
Sikio lako, yanisikia
Siwezi jificha
Sasa nimetambua, mbivu na mbichi ni zipi
Sasa ninaelewa, njia salama ni wapi
Na nimejua bila ya wewe sifiki
Hata nikila pasipo neno lako sishibi
Neema yako, ila kwa neema yako
Upendo wako, kwa upendo wako
Rehema zako zimeniimarisha tena