Home ๐ŸŽฌ Bollywood ๐ŸŽต Pakistani ๐ŸŽค English Pop

You

๐Ÿ‘ค Harmonize โ€ข ๐ŸŽผ You โ€ข โฑ๏ธ 3:38
๐ŸŽต 1758 characters
โฑ๏ธ 3:38 duration
๐Ÿ†” ID: 3188297

๐Ÿ“œ Lyrics

Bboy on the beat
Mmmmmh
Mmmmmh yeah

Mikono juu na surrender
Acha dunia ijue muuni amenpenda
Wangapi walikuja wakaenda
Mbona ni wewe

Mwenzako nahesabu calendar
Siku na masaa yanakwenda
Hebu fanyaurudi nakupenda
Basi nielewe eeeh

Kitaniumbua kifo kifo
Nikiyaficha maradhi
Sikujua before before
Kumpata unaempenda ndio kazi

Nimejaribu haka kawimbo kukuimbia
Pengine labda ukakasikia
Ishara tosha kuwa najutia
Fanya unisamehe ni mambo ya ujana

Moyo unakufa ganzi nikifikiria
Mazito tuliyo yapitia
Yaliyo kufanya utaki ata nisikia
Bado nahisi ni kama jana

Hakuna aliye kamilika (kamilika)
Hata unae mbhani malaika (malaika)
Bado anaweza kuwa shetani
Naukasema bora mimi (bora mimi)

Ndoto yangu bado haijafutika
Naamini siku itafika
Tumwite sheikh na ubani
Au tufunge ndoa kanisani
Oooh beibey

I miss you
I miss you
I miss you
I miss you

Kweli mapenzi hayaa ujanja
Hayajaligi jina mkwanja
Yani nimepita kila kiwanja
Ila nimesasa kwa mtoto wa masanja

Wewe ni mtu wa mungu tena mlokole
Yanini app ya mange
Wapiga majungu wakina lokole
Wanao pakaza me nakula bange

Naanguka makosa
Tena nipo radhi kutoa posa
Basi fanya urudi malikia
Tuje kuanza tulipo ishia eeh eeh

Waambie mashoga zako si kwa ubaya
Ila me sipendagi kuongea
Unamsemaje mwenzako bangi mbaya
Kama hujawahi hata mgongea

Hakuna aliye kamilika (kamilika)
Hata unae mdhani malaika (bora mimi)
Bado anaweza kuwa shetani
Na ukasema bora mimi (naukasema bora mimi)

Ndoto yangu bado haijafutika
Naamini siku itafika
Tumwite sheikh na ubani
Au tufunge ndoa kanisani
Oooh beibey

I miss you
I miss you
I miss you
I miss you

Of course bboy on the beat
Konde boy call me number one
Bakhresa

It's what it is baby I want you to come back
It's what it is baby I want you to come back
Come back my baby

โฑ๏ธ Synced Lyrics

[00:08.67] Bboy on the beat
[00:11.67] Mmmmmh
[00:16.08] Mmmmmh yeah
[00:18.67] Mikono juu na surrender
[00:21.32] Acha dunia ijue muuni amenpenda
[00:23.42] Wangapi walikuja wakaenda
[00:26.46] Mbona ni wewe
[00:29.05] Mwenzako nahesabu calendar
[00:31.08] Siku na masaa yanakwenda
[00:33.85] Hebu fanyaurudi nakupenda
[00:36.30] Basi nielewe eeeh
[00:39.13] Kitaniumbua kifo kifo
[00:41.59] Nikiyaficha maradhi
[00:43.74] Sikujua before before
[00:46.08] Kumpata unaempenda ndio kazi
[00:48.85] Nimejaribu haka kawimbo kukuimbia
[00:51.54] Pengine labda ukakasikia
[00:53.98] Ishara tosha kuwa najutia
[00:56.88] Fanya unisamehe ni mambo ya ujana
[00:59.36] Moyo unakufa ganzi nikifikiria
[01:01.97] Mazito tuliyo yapitia
[01:04.17] Yaliyo kufanya utaki ata nisikia
[01:06.45] Bado nahisi ni kama jana
[01:09.37] Hakuna aliye kamilika (kamilika)
[01:11.62] Hata unae mbhani malaika (malaika)
[01:14.10] Bado anaweza kuwa shetani
[01:15.93] Naukasema bora mimi (bora mimi)
[01:18.65] Ndoto yangu bado haijafutika
[01:20.94] Naamini siku itafika
[01:24.08] Tumwite sheikh na ubani
[01:26.23] Au tufunge ndoa kanisani
[01:29.13] Oooh beibey
[01:30.74] I miss you
[01:35.00] I miss you
[01:40.38] I miss you
[01:45.78] I miss you
[01:50.42] Kweli mapenzi hayaa ujanja
[01:53.43] Hayajaligi jina mkwanja
[01:56.12] Yani nimepita kila kiwanja
[01:58.42] Ila nimesasa kwa mtoto wa masanja
[02:00.80] Wewe ni mtu wa mungu tena mlokole
[02:03.42] Yanini app ya mange
[02:06.03] Wapiga majungu wakina lokole
[02:08.58] Wanao pakaza me nakula bange
[02:10.96] Naanguka makosa
[02:12.22] Tena nipo radhi kutoa posa
[02:14.83] Basi fanya urudi malikia
[02:17.29] Tuje kuanza tulipo ishia eeh eeh
[02:20.89] Waambie mashoga zako si kwa ubaya
[02:23.91] Ila me sipendagi kuongea
[02:25.84] Unamsemaje mwenzako bangi mbaya
[02:28.97] Kama hujawahi hata mgongea
[02:33.17] Hakuna aliye kamilika (kamilika)
[02:34.69] Hata unae mdhani malaika (bora mimi)
[02:37.13] Bado anaweza kuwa shetani
[02:40.09] Na ukasema bora mimi (naukasema bora mimi)
[02:42.69] Ndoto yangu bado haijafutika
[02:45.06] Naamini siku itafika
[02:47.33] Tumwite sheikh na ubani
[02:49.53] Au tufunge ndoa kanisani
[02:52.25] Oooh beibey
[02:53.78] I miss you
[02:59.05] I miss you
[03:03.89] I miss you
[03:08.99] I miss you
[03:12.93] Of course bboy on the beat
[03:17.06] Konde boy call me number one
[03:20.40] Bakhresa
[03:23.78] It's what it is baby I want you to come back
[03:28.89] It's what it is baby I want you to come back
[03:32.81] Come back my baby
[03:34.87]

โญ Rate These Lyrics

โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†
Average: 0.0/5 โ€ข 0 ratings