Tumetumwa Na Yesu
๐ต 544 characters
โฑ๏ธ 5:46 duration
๐ ID: 4211997
๐ Lyrics
Roho i radhi lakin mwili ni dhaifu sana
Aliyasema hayo bwana akiwa getsamane taji ya miba alivikwa
Damu nyingi ilitoka hiyo yote ni kwa sababu mimi na we tuokolewe
Mateso makali aliyapata bwana yesu alichomwa mkuki damu na maji
Vilitoka akalia sana eloi eloi
Mungu wangu mungu wangu mbona umeniacha
Ilipofika sa sita akasema imekwisha kwa huzuni kuu akakata roho yesu
Alizikwa na siku ya tatu kafufuka yuko juu mbinguniii kuandaa makao
Hata na wewe ndugu yangu uache maovu mrudie mungu
Atakupokea utakuwa mwana wake leo na milele utaishi nae
Aliyasema hayo bwana akiwa getsamane taji ya miba alivikwa
Damu nyingi ilitoka hiyo yote ni kwa sababu mimi na we tuokolewe
Mateso makali aliyapata bwana yesu alichomwa mkuki damu na maji
Vilitoka akalia sana eloi eloi
Mungu wangu mungu wangu mbona umeniacha
Ilipofika sa sita akasema imekwisha kwa huzuni kuu akakata roho yesu
Alizikwa na siku ya tatu kafufuka yuko juu mbinguniii kuandaa makao
Hata na wewe ndugu yangu uache maovu mrudie mungu
Atakupokea utakuwa mwana wake leo na milele utaishi nae