Mtasubiri (feat. Zuchu) - Acoustic
๐ต 1533 characters
โฑ๏ธ 3:56 duration
๐ ID: 4893517
๐ Lyrics
Mmmh mmh mh
Mmmh mmh mh
Mmmh mmh mh
Anh! anacheka!
Eti amina dua zimeitikiwa
Ashtuti nije kupa mali yako
Mmh oh! fanya hima
Mwenzako nimezidiwa
Mahututi nasubiri tiba yako
Na nisipo kuona
Na raha nakosa
Situlii mpaka
Unikumbate darling
Ooh! kiranga chote mi koma
Ukianza dear shughuri
Kwisha yangu habari
Eti unanipenda mi (Mmh)
Unitaka pia (Mmh)
Unaniamini (Mmh)
Na umeniridhia
Oh!unanipenda mi (Mmh)
Unitaka pia (Mmh)
Unaniamini (Mmh)
Na umeniridhia
Mnaosubiri tuachane!
Mtasubiri sana mtasubi
(Ooh mtangoja)
Mtasubiri sana mtasubi
(Wanaosubiri tuachane)
Mtasubiri sana mtasubi
(Vuteni kiti mkae)
Mtasubiri sana mtasubi
Mmh mmh
Mmh mmh
Mmnh
Ooh baby mi mwenzako
Njiwa wa kufugwa oh!
Ooh baby,vya chakuchaku
Vitanifuja mimi
Ooh baby mie wa pwani
Mzaliwa wa Unguja
Ooh baby penzi laini
Sitoi buja
Na moyo nimeshaweka
Kwako nanga (oh lalala!)
Wanajisumbua kukesha
Kwa waganga
Mbona bado
Na presha zitawashuka
Na kupanda
Tena deka we shauukwa
Baby tamba... (Oooh!)
Unanipenda mi (Mmh)
Unitaka pia (Mmh)
Unaniamini (Mmh)
Na umeniridhia (Mmhh)
Unanipenda mi (Mmh)
Unitaka pia (Mmh)
Unaniamini (Mmh)
Na umeniridhia
Eeh!
Mnaosubiri tuachane!
Mtasubiri sana mtasubi
(Mtakesha)
Mtasuburi sana mtasubi
(Mueke kigoda mukae)
Mtasubiri sana mtasubi
(Mtasubiria)
Mtasuburi sana mtasubi
Wanasema eti umeniroga
Nikweli ila inawahusu nini
Hunipendi unanichuna
Nikweli ila unawahusu nini
Eti wanasema wewe ni kicheche
Nikweli ila inawahusu nini
Utanichezea kesho uniache
Nikweli ila inawahusu nini
Ha ha nashangaa!
Aanh deka deka
Mmmh mmh mh
Mmmh mmh mh
Anh! anacheka!
Eti amina dua zimeitikiwa
Ashtuti nije kupa mali yako
Mmh oh! fanya hima
Mwenzako nimezidiwa
Mahututi nasubiri tiba yako
Na nisipo kuona
Na raha nakosa
Situlii mpaka
Unikumbate darling
Ooh! kiranga chote mi koma
Ukianza dear shughuri
Kwisha yangu habari
Eti unanipenda mi (Mmh)
Unitaka pia (Mmh)
Unaniamini (Mmh)
Na umeniridhia
Oh!unanipenda mi (Mmh)
Unitaka pia (Mmh)
Unaniamini (Mmh)
Na umeniridhia
Mnaosubiri tuachane!
Mtasubiri sana mtasubi
(Ooh mtangoja)
Mtasubiri sana mtasubi
(Wanaosubiri tuachane)
Mtasubiri sana mtasubi
(Vuteni kiti mkae)
Mtasubiri sana mtasubi
Mmh mmh
Mmh mmh
Mmnh
Ooh baby mi mwenzako
Njiwa wa kufugwa oh!
Ooh baby,vya chakuchaku
Vitanifuja mimi
Ooh baby mie wa pwani
Mzaliwa wa Unguja
Ooh baby penzi laini
Sitoi buja
Na moyo nimeshaweka
Kwako nanga (oh lalala!)
Wanajisumbua kukesha
Kwa waganga
Mbona bado
Na presha zitawashuka
Na kupanda
Tena deka we shauukwa
Baby tamba... (Oooh!)
Unanipenda mi (Mmh)
Unitaka pia (Mmh)
Unaniamini (Mmh)
Na umeniridhia (Mmhh)
Unanipenda mi (Mmh)
Unitaka pia (Mmh)
Unaniamini (Mmh)
Na umeniridhia
Eeh!
Mnaosubiri tuachane!
Mtasubiri sana mtasubi
(Mtakesha)
Mtasuburi sana mtasubi
(Mueke kigoda mukae)
Mtasubiri sana mtasubi
(Mtasubiria)
Mtasuburi sana mtasubi
Wanasema eti umeniroga
Nikweli ila inawahusu nini
Hunipendi unanichuna
Nikweli ila unawahusu nini
Eti wanasema wewe ni kicheche
Nikweli ila inawahusu nini
Utanichezea kesho uniache
Nikweli ila inawahusu nini
Ha ha nashangaa!
Aanh deka deka