Home ๐ŸŽฌ Bollywood ๐ŸŽต Pakistani ๐ŸŽค English Pop

Huu Kijana

๐Ÿ‘ค Wakadinali โ€ข ๐ŸŽผ NDANI YA COCKPIT 3 โ€ข โฑ๏ธ 3:30
๐ŸŽต 3055 characters
โฑ๏ธ 3:30 duration
๐Ÿ†” ID: 4973907

๐Ÿ“œ Lyrics

Yoh, all along all along wanaliutifin east
Hizi streets huu kijana
Haah, ati tuko level moja we unadhani we ni mrazi
Na hatubanji area jamo na hatujuani
Hadi abroad, daily broads na mabros na magambo
Na hii pose inaglow huu kijana

All along all along wanaliutifin east
Hizi streets huu kijana
Haah, ati tuko level moja we unadhani we ni mrazi
Na hatubanji area jamo na hatujuani
Hadi abroad, daily broads na mabros na magambo
Na hii pose inaglow

Ha, ha, tangu zile vako those days
Hata nakunjiva still na bado wako njeits
Ha, no filter nikikemba menje
High school nilikuwanga Dr. Mwenje
We jua, ah, uko nje
Ndio nijiumize kichwani labda finje finje
Aaay, hii ndio life ya jiji
Mnguna ka ni poko halali kwa baridi

Nditni, speedy, mristi, mdigi
We ain't kidding kwani we ni chizi nini?
Blinking nini, bling bling mingi mangiri nikro denge danger dingy
Uh, God bless the king, long live the queen
Sky larkin' bila Clarks mi si Aladdin
Zozanga bad B kama kawa mi ni zing
Dr. Ring ding brrr this daily thing

Yoh, all along all along wanaliutifin east
Hizi streets huu kijana
Haah, ati tuko level moja we unadhani we ni mrazi
Na hatubanji area jamo na hatujuani
Hadi abroad, daily broads na mabros na magambo
Na hii pose inaglow huu kijana

All along all along wanaliutifin east
Hizi streets huu kijana
Haah, ati tuko level moja we unadhani we ni mrazi
Na hatubanji area jamo na hatujuani
Hadi abroad, daily broads na mabros na magambo
Na hii pose inaglow huu kijana

Kama kawa tunajituma kwa sana
Hatununui ganja tunaichuna kwa shamba
Msupa wangu anakuwanga kagangster
Akicheki mambang'a anasundaga kwa haga
Tunaweza kukutuma we fala, huu kijana amekuja ni kama
Ametumwa ubaya, si hatunanga haya

By the way, mi na msupa wako hatujawachana
Baada ya mboka hio ganji nijenge
Nakuja na mboga ongeza maji sembe
Walijaribu kutukazia tenee, ni warazi munaweza kalia kende
I keep fighting usiku na mchana mi ni viking
If I die I go to Valhalla
20k kwa ma Adidas sijavaanga, beef kibao inafanya nadai vana

Yoh, all along all along wanaliutifin east
Hizi streets huu kijana
Haah, ati tuko level moja we unadhani we ni mrazi
Na hatubanji area jamo na hatujuani
Hadi abroad, daily broads na mabros na magambo
Na hii pose inaglow huu kijana

All along all along wanaliutifin east
Hizi streets huu kijana
Haah, ati tuko level moja we unadhani we ni mrazi
Na hatubanji area jamo na hatujuani
Hadi abroad, daily broads na mabros na magambo
Na hii pose inaglow huu kijana

Huu kijana ako lit, huu kijana ni riet
Huu kijana ako biz, time yake usiiwaste
Thor alinishow "what you see is what you get"
Chenye naeza lose today by tomorrow naeza iget
Slave niligraduate sai nafanya master's degree
Fanya bidii ndio uachieve ka mi
Ficha kila kitu tenje, njuta, shati hadi bling, eh

Jif-jif-jifanye maskin'
High sana kama Titus Naikuni
Mi ndio aliniachia nihead Project Mawingu
Uh, uh boomerang niliacha iende ikarudi
Flight 420 ilibidi nicatch by saa kumi
Unanimezeshea ukinimezesha hizo vitu
Ice bloody nyekundu nakaa vampire usiku
Ka uninitaja, ka uninitaja, ka uninitaja riu

โฑ๏ธ Synced Lyrics

[00:06.75] Yoh, all along all along wanaliutifin east
[00:12.37] Hizi streets huu kijana
[00:13.76] Haah, ati tuko level moja we unadhani we ni mrazi
[00:16.45] Na hatubanji area jamo na hatujuani
[00:18.06] Hadi abroad, daily broads na mabros na magambo
[00:21.13] Na hii pose inaglow huu kijana
[00:22.90] All along all along wanaliutifin east
[00:25.93] Hizi streets huu kijana
[00:27.36] Haah, ati tuko level moja we unadhani we ni mrazi
[00:29.94] Na hatubanji area jamo na hatujuani
[00:32.59] Hadi abroad, daily broads na mabros na magambo
[00:35.14] Na hii pose inaglow
[00:35.73] Ha, ha, tangu zile vako those days
[00:38.35] Hata nakunjiva still na bado wako njeits
[00:40.80] Ha, no filter nikikemba menje
[00:43.08] High school nilikuwanga Dr. Mwenje
[00:45.27] We jua, ah, uko nje
[00:47.43] Ndio nijiumize kichwani labda finje finje
[00:49.53] Aaay, hii ndio life ya jiji
[00:51.92] Mnguna ka ni poko halali kwa baridi
[00:54.31] Nditni, speedy, mristi, mdigi
[00:56.69] We ain't kidding kwani we ni chizi nini?
[00:58.91] Blinking nini, bling bling mingi mangiri nikro denge danger dingy
[01:03.63] Uh, God bless the king, long live the queen
[01:05.98] Sky larkin' bila Clarks mi si Aladdin
[01:08.65] Zozanga bad B kama kawa mi ni zing
[01:10.42] Dr. Ring ding brrr this daily thing
[01:12.52] Yoh, all along all along wanaliutifin east
[01:16.39] Hizi streets huu kijana
[01:18.29] Haah, ati tuko level moja we unadhani we ni mrazi
[01:20.50] Na hatubanji area jamo na hatujuani
[01:22.74] Hadi abroad, daily broads na mabros na magambo
[01:24.77] Na hii pose inaglow huu kijana
[01:27.37] All along all along wanaliutifin east
[01:29.79] Hizi streets huu kijana
[01:31.62] Haah, ati tuko level moja we unadhani we ni mrazi
[01:34.68] Na hatubanji area jamo na hatujuani
[01:36.49] Hadi abroad, daily broads na mabros na magambo
[01:38.76] Na hii pose inaglow huu kijana
[01:40.34] Kama kawa tunajituma kwa sana
[01:42.23] Hatununui ganja tunaichuna kwa shamba
[01:44.95] Msupa wangu anakuwanga kagangster
[01:47.17] Akicheki mambang'a anasundaga kwa haga
[01:49.25] Tunaweza kukutuma we fala, huu kijana amekuja ni kama
[01:53.40] Ametumwa ubaya, si hatunanga haya
[01:55.68] By the way, mi na msupa wako hatujawachana
[01:58.24] Baada ya mboka hio ganji nijenge
[02:00.37] Nakuja na mboga ongeza maji sembe
[02:02.70] Walijaribu kutukazia tenee, ni warazi munaweza kalia kende
[02:07.58] I keep fighting usiku na mchana mi ni viking
[02:10.69] If I die I go to Valhalla
[02:12.22] 20k kwa ma Adidas sijavaanga, beef kibao inafanya nadai vana
[02:16.47] Yoh, all along all along wanaliutifin east
[02:20.41] Hizi streets huu kijana
[02:21.76] Haah, ati tuko level moja we unadhani we ni mrazi
[02:24.54] Na hatubanji area jamo na hatujuani
[02:26.46] Hadi abroad, daily broads na mabros na magambo
[02:28.98] Na hii pose inaglow huu kijana
[02:30.98] All along all along wanaliutifin east
[02:33.84] Hizi streets huu kijana
[02:35.48] Haah, ati tuko level moja we unadhani we ni mrazi
[02:38.47] Na hatubanji area jamo na hatujuani
[02:40.28] Hadi abroad, daily broads na mabros na magambo
[02:43.04] Na hii pose inaglow huu kijana
[02:44.34] Huu kijana ako lit, huu kijana ni riet
[02:47.68] Huu kijana ako biz, time yake usiiwaste
[02:49.67] Thor alinishow "what you see is what you get"
[02:51.72] Chenye naeza lose today by tomorrow naeza iget
[02:54.07] Slave niligraduate sai nafanya master's degree
[02:56.13] Fanya bidii ndio uachieve ka mi
[02:58.96] Ficha kila kitu tenje, njuta, shati hadi bling, eh
[03:01.80] Jif-jif-jifanye maskin'
[03:03.67] High sana kama Titus Naikuni
[03:05.24] Mi ndio aliniachia nihead Project Mawingu
[03:07.76] Uh, uh boomerang niliacha iende ikarudi
[03:10.17] Flight 420 ilibidi nicatch by saa kumi
[03:12.82] Unanimezeshea ukinimezesha hizo vitu
[03:14.99] Ice bloody nyekundu nakaa vampire usiku
[03:16.83] Ka uninitaja, ka uninitaja, ka uninitaja riu
[03:21.43]

โญ Rate These Lyrics

โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†
Average: 0.0/5 โ€ข 0 ratings