Home ๐ŸŽฌ Bollywood ๐ŸŽต Pakistani ๐ŸŽค English Pop

Bembeleza

๐Ÿ‘ค Marlaw โ€ข ๐ŸŽผ Sungura Na Fisi โ€ข โฑ๏ธ 4:42
๐ŸŽต 2275 characters
โฑ๏ธ 4:42 duration
๐Ÿ†” ID: 4975901

๐Ÿ“œ Lyrics

Nipesa simu nibembeleze
Hey Hey hello Ma
Laiti ungekuwa unaniona
Vile kila time nakonda nawaza
Kama kukupata nitaweza

Jinsi gani kukueleza
Au mi sijui bembeleza
Usinikatae utaniumiza
Nakupenda kukutenda sitoweza

Kila time nakuangalia usoni ma
Sio kamaa nakosa neno kusema
Ulivyo ma anafanya kosa kunena
Ingawa moyo hautaki kunena tena

Wazo kichwani lina beep (kukueleza)
Ila vibaya ukinijibu (bembeleza)
Nahisi sijui bembeleza
Utakataa halafu mi utaniumizaa

Kidesign nakuangalia usoni ma
Kuna sign za kuita huko machoni ma
Kitu fulani umehifadhi huko moyoni ma
Unachotaka nianze mikusema

Hapa unafanya nijione (nitashinda)
Hapa unafanya nitamke (nakupenda)
Ilaunacho jibu mdomoni nitofauti nausemacho machoni

We Dada mi unaniumiza
We dada sijamaliza
Mbona unakata simu
Please usikate ma

Hey hey hello ma
Laiti ungekuwa unaniona
Vile kila time nakonda nawaza
Kama kukupata nitaweza

Jinsi gani kukueleza
Au mi sijui kubembeleza
Usinikatae utaniumiza
Nakupenda kukutenda sitoweza

Hello ma
Laiti ungekuwa unaniona
Vile kila time nakonda nawaza
Kama kukupata nitaweza

Jinsi gani kukueleza
Au mi sijui kubembeleza
Usinikatae utaniumiza
Nakupenda kukutenda sitoweza

Kati yetu imetawala rangi ya pinki (pink)
Kitu ambacho moyoni siridhikii
Nacho kuomba tuwe zaidi ya marafiki
Inajionyesha machoni unaafiki

Lugha ya macho kwa sasa (nakataa)
Tataka tuongee ilitufikie (mwafaka)
Oooh aaah, aaah

Kwenye party ulikuja umependeza
Kwenye traini ukaniomba mi kucheza
Tukadance na macho umelegeza
Ulinibamba nikaficha kukueleza

Unanimaliza
Mimi ninakweleza
Minakupembeleza
Baby please baby girl

Vile unatamka
Wewe kuona nataka
Tuonge ana kwa ana
Baby please baby girl

We Dada mi unaniumiza
We dada sijamaliza
Mbona unakata simu
Please usikate ma

Hey hey hello ma
Laiti ungekuwa unaniona
Vile kila time nakonda nawaza
Kama kukupata nitaweza

Jinsi gani kukueleza
Au mi sijui kubembeleza
Usinikatae utaniumiza
Nakupenda kukutenda sitoweza

Hello ma
Laiti ungekuwa unaniona
Vile kila time nakonda nawaza
Kama kukupata nitaweza

Jinsi gani kukueleza
Au mi sijui kubembeleza
Usinikatae utaniumiza
Nakupenda kukutenda sitoweza

Hooow (hooow)
Sasa kama (kama)
Umenielewa mbona
Unachelewa sana
Nambie nije, nije sasa hivi

Umenielewa mbona
Unachelewa sana
Nambie nije, nije sasa hivi

โฑ๏ธ Synced Lyrics

[00:07.72] Nipesa simu nibembeleze
[00:08.33] Hey Hey hello Ma
[00:13.81] Laiti ungekuwa unaniona
[00:16.05] Vile kila time nakonda nawaza
[00:18.98] Kama kukupata nitaweza
[00:21.50] Jinsi gani kukueleza
[00:24.09] Au mi sijui bembeleza
[00:26.69] Usinikatae utaniumiza
[00:28.85] Nakupenda kukutenda sitoweza
[00:32.24] Kila time nakuangalia usoni ma
[00:35.19] Sio kamaa nakosa neno kusema
[00:37.65] Ulivyo ma anafanya kosa kunena
[00:40.41] Ingawa moyo hautaki kunena tena
[00:42.70] Wazo kichwani lina beep (kukueleza)
[00:45.35] Ila vibaya ukinijibu (bembeleza)
[00:47.73] Nahisi sijui bembeleza
[00:50.12] Utakataa halafu mi utaniumizaa
[00:53.65] Kidesign nakuangalia usoni ma
[00:56.38] Kuna sign za kuita huko machoni ma
[00:58.94] Kitu fulani umehifadhi huko moyoni ma
[01:01.68] Unachotaka nianze mikusema
[01:04.04] Hapa unafanya nijione (nitashinda)
[01:06.74] Hapa unafanya nitamke (nakupenda)
[01:09.49] Ilaunacho jibu mdomoni nitofauti nausemacho machoni
[01:14.89] We Dada mi unaniumiza
[01:18.16] We dada sijamaliza
[01:20.04] Mbona unakata simu
[01:21.92] Please usikate ma
[01:25.14] Hey hey hello ma
[01:27.67] Laiti ungekuwa unaniona
[01:30.45] Vile kila time nakonda nawaza
[01:32.76] Kama kukupata nitaweza
[01:35.91] Jinsi gani kukueleza
[01:38.86] Au mi sijui kubembeleza
[01:40.70] Usinikatae utaniumiza
[01:43.39] Nakupenda kukutenda sitoweza
[01:46.17] Hello ma
[01:49.48] Laiti ungekuwa unaniona
[01:51.68] Vile kila time nakonda nawaza
[01:54.32] Kama kukupata nitaweza
[01:56.92] Jinsi gani kukueleza
[01:59.87] Au mi sijui kubembeleza
[02:02.47] Usinikatae utaniumiza
[02:04.54] Nakupenda kukutenda sitoweza
[02:07.27] Kati yetu imetawala rangi ya pinki (pink)
[02:10.71] Kitu ambacho moyoni siridhikii
[02:13.77] Nacho kuomba tuwe zaidi ya marafiki
[02:16.49] Inajionyesha machoni unaafiki
[02:18.47] Lugha ya macho kwa sasa (nakataa)
[02:21.16] Tataka tuongee ilitufikie (mwafaka)
[02:23.83] Oooh aaah, aaah
[02:29.25] Kwenye party ulikuja umependeza
[02:31.80] Kwenye traini ukaniomba mi kucheza
[02:34.89] Tukadance na macho umelegeza
[02:37.25] Ulinibamba nikaficha kukueleza
[02:39.99] Unanimaliza
[02:41.43] Mimi ninakweleza
[02:42.69] Minakupembeleza
[02:43.52] Baby please baby girl
[02:45.17] Vile unatamka
[02:46.56] Wewe kuona nataka
[02:47.77] Tuonge ana kwa ana
[02:49.12] Baby please baby girl
[02:50.95] We Dada mi unaniumiza
[02:52.74] We dada sijamaliza
[02:56.02] Mbona unakata simu
[02:59.65] Please usikate ma
[03:00.80] Hey hey hello ma
[03:03.30] Laiti ungekuwa unaniona
[03:06.52] Vile kila time nakonda nawaza
[03:09.03] Kama kukupata nitaweza
[03:11.34] Jinsi gani kukueleza
[03:14.59] Au mi sijui kubembeleza
[03:17.28] Usinikatae utaniumiza
[03:19.47] Nakupenda kukutenda sitoweza
[03:22.56] Hello ma
[03:25.60] Laiti ungekuwa unaniona
[03:27.83] Vile kila time nakonda nawaza
[03:30.64] Kama kukupata nitaweza
[03:33.27] Jinsi gani kukueleza
[03:35.90] Au mi sijui kubembeleza
[03:38.79] Usinikatae utaniumiza
[03:41.11] Nakupenda kukutenda sitoweza
[03:44.09] Hooow (hooow)
[03:47.36] Sasa kama (kama)
[03:52.85] Umenielewa mbona
[03:58.40] Unachelewa sana
[04:00.90] Nambie nije, nije sasa hivi
[04:05.54] Umenielewa mbona
[04:08.31] Unachelewa sana
[04:11.77] Nambie nije, nije sasa hivi
[04:16.30]

โญ Rate These Lyrics

โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†
Average: 0.0/5 โ€ข 0 ratings