Home ๐ŸŽฌ Bollywood ๐ŸŽต Pakistani ๐ŸŽค English Pop

Mtaachana Tuu (feat. Diana Marua)

๐Ÿ‘ค Bahati โ€ข ๐ŸŽผ Mtaachana Tuu (feat. Diana Marua) โ€ข โฑ๏ธ 2:58
๐ŸŽต 951 characters
โฑ๏ธ 2:58 duration
๐Ÿ†” ID: 4976863

๐Ÿ“œ Lyrics

Wanadai mtaachana tu
Wanacommenti, Chibu na Zari walidate
Ata na nyinyi pia mtaachana tu
Omuwano, kuni na munji
Hegu simunange
Dada ukoze bingi

Sura ya mama urembo kwa face
Nilikutafutanga aah kama shilingi
Ombi la kwangu niahidi mi nawe milele
Sije tengana yashinde maneno ya wale
Wanaosema eeh

Mtaachana tu, achana tu
Mtaachana tu, achana tu
Mtaachana tu, achana tu
Mtaachana tu, achana tu

Shukurani watoto umenipa warembo
Ka we mama yao
Na bado una joto la mimba
Na we mama lao
Naona mitusi ya Insta na Twitter
Ni kawaida yao
Ametukinga Mungu jamani
Na maneno yao

Hisia zangu nakupa nibebebe
Na moyo wangu pepete
Siri zangu nitunzie
My one and only
Hawajui tuliumbiwa pamoja
Mi nawe mtu mmoja
Niite Adamu wewe Hawa eeh

Mtaachana tu, achana tu
Mtaachana tu, achana tu
Mtaachana tu, achana tu
Mtaachana tu, achana tu

Mara wanasema yaliyopita
Ulikuwa na yule
Wanatamani nikuache usogee wakule
Na watangoja sana aah sana
Hadi kifo hatutaachana tu

โญ Rate These Lyrics

โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†
Average: 0.0/5 โ€ข 0 ratings