Home ๐ŸŽฌ Bollywood ๐ŸŽต Pakistani ๐ŸŽค English Pop

NTAMBIA NINI WATU

๐Ÿ‘ค Dmore feat. Domani Munga, NellyTheGoon & Parroty โ€ข ๐ŸŽผ NTAMBIA NINI WATU โ€ข โฑ๏ธ 4:24
๐ŸŽต 1924 characters
โฑ๏ธ 4:24 duration
๐Ÿ†” ID: 4976912

๐Ÿ“œ Lyrics

Nikishikwa na dem yako, ntambia nini watu?
Akisema ananipenda, ntambia nini watu?
Nikishikwa na dem yako, ntambia nini watu?
Akisema ananipenda, ntambia nini watu?

Yoh amereremba mi humnyc
Akiniona ye hufurahi, ntambia nini watu?
Ni mtamu na ni fries
Tamu na ni fries, ntambia nini watu?

Cheza lotto, cheza kamari washa nare
Purura ruracio nilipull up ka odinare
Kula mbleina mbosho mjoro msare na suruari
Gizani baze ngware chebe mchwape na Mshwari

Moshi na itoka, harufu haitoki
Msupa wa ghetto nilimpeleka katululu shopping
Ndege bogi benda, rowesa in de
Rong rende hizo mbogi genje

Seska kwa mbavu yu hunituliza roho
Mshenzi huyo swanse amenilkula brown
Nilimkemba na madigola akafungua roho
Nikiwa matundu, mavitunguu na Dmore wa Ochungulo

Nikishikwa na dem yako, ntambia nini watu?
Akisema ananipenda, ntambia nini watu?
Nikishikwa na dem yako, ntambia nini watu?
Akisema ananipenda, ntambia nini watu?

Yoh amereremba mi humnyc
Akiniona ye hufurahi, ntambia nini watu?
Ni mtamu na ni fries
Tamu na ni fries, ntambia nini watu?

Brathe nimekafunga ka shop za Bet In
Pedi wangu huuza gode ndani ya canteen
Mi hupiga ngasha kwanza nikiwa taxin
Hio ndo njaro ya kuhata Covid 19

Cha mkufuu mwanafuu Ha!
Na akila mwanafuu Hu!
Cha mwanafuu mkufuu Hu!
Na akila mkufuu, aii

Hawezi konda
Hata ukule feelings bado hauwezi nona
Dem alikula vela akajipata kwa mrota
Mboka ni mboka na nyoka ni nyoka aaiii

Nikishikwa na dem yako, ntambia nini watu?
Akisema ananipenda, ntambia nini watu?
Nikishikwa na dem yako, ntambia nini watu?
Akisema ananipenda, ntambia nini watu?

Yoh amereremba mi humnyc
Akiniona ye hufurahi, ntambia nini watu?
Ni mtamu na ni fries
Tamu na ni fries, ntambia nini watu?

Confessions, confessions
Nafungua roho ndo niji-validate
Kutokanga bila juanga huyo si mimi
Nakata wasupa buda si ati nini

Sexting mi na Diana
Kwa giza ni saa ile banye amelala
Omusakhole we wamboreshi
Omusakhole we wamboreshi

โญ Rate These Lyrics

โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†
Average: 0.0/5 โ€ข 0 ratings