Home ๐ŸŽฌ Bollywood ๐ŸŽต Pakistani ๐ŸŽค English Pop

Ndo Mana

๐Ÿ‘ค Rich Mavoko โ€ข ๐ŸŽผ Fundi โ€ข โฑ๏ธ 2:45
๐ŸŽต 1087 characters
โฑ๏ธ 2:45 duration
๐Ÿ†” ID: 4976959

๐Ÿ“œ Lyrics

Aiyaaaah
Aaaaaaaahhhh
Olalalalalah

Nakesha nikihesabu nyota
Labda masiku yajongee
Nikiota eti nitaokota
Ile radha ni miee

Kwa jihadi nishindane
Nikirejeshe kilichopotea
Nikose chongo mimi
Kwa kengeza niende komea

Night mwili wa baridi baridi
Pembeni shahidi nani
Baki mabua mahindi mahindi
Shambani nimecheka na nyani

Mi sio wa msiba sio wa heri
Niseme mi kwa kejeli
Machinga kaachwa feri
Matanga basi kwa herii

Tukaachana, ndo mana
Ndo mana, ndo mana
Inauma sana sana

Ndo mana
Ndo mana, ndo mana
Inauma sana sana

Mwana pori kulikosa shina
Kulikosa jina aibu kwa nani?
Tabia za Mwinyi mpeku
Yaani asili ni chetu

Nijitose nitange tange kwa nani
Nipate nini?
Pombe naikataa kwa imani, nahisi majini
Kijakazi nisiye na kazi
Sipandi ngazi hukujali
Huu my imani mi sina zari

Night mwili wa baridi baridi
Pembeni shahidi nani
Baki mabua mahindi mahindi
Shambani nimecheka na nyani

Mi sio wa msiba sio wa heri
Niseme mi kwa kejeli
Machinga kaachwa feri
Matanga basi kwa herii

Tukaachana, ndo mana
Ndo mana, ndo mana
Inauma sana sana

Ndo mana
Ndo mana, ndo mana
Inauma sana sana
Aaah

โญ Rate These Lyrics

โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†
Average: 0.0/5 โ€ข 0 ratings