Home ๐ŸŽฌ Bollywood ๐ŸŽต Pakistani ๐ŸŽค English Pop

Nitafanya

๐Ÿ‘ค Kidum Kibido feat. Lady Jaydee โ€ข ๐ŸŽผ Kidum: Collection, Vol. I โ€ข โฑ๏ธ 3:53
๐ŸŽต 2270 characters
โฑ๏ธ 3:53 duration
๐Ÿ†” ID: 4977017

๐Ÿ“œ Lyrics

Tutu turu tutu yeah
Tiru turu tuntu tu
Tuntu tuntu tuntu
Tun tiriri tin tiriri

Ikiwa umeamua kunitoroka
Ikiwa unahisi kwamba hujisikii nami tena
Na mbona imekuwa ngumu kunidokeza?
Naona ni bora nilie leo badala ya kesho

Kupenda usipendwe
Ni kama kujitia kitanzi
Nitachimba na sururu
Kwa ardhi nikitafuta penzi lako

Ni heri nipigwe fimbo kwa mwili
Sababu nitajikuna ama nitajikanda na maji moto
Maumivu ya penzi mtu hajikuni
Wala hajikandi na maji, na hakuna upasuaji

Kama kuna kosa nimewahi fanya (nieleze)
Kama kuna jinsi tunaweza leta (mpatanishi)
Na kama kuna kitendo ningeweza tenda (nieleze)

Nitafanya (fanya)
Nitatenda (tenda)
Nitafanya (fanya)
Nitatenda (tenda)

Nitafanya nasema (fanya)
Nitatenda (tenda)
Nitafanya (fanya)
Nitatenda (tenda)

Kweli hukumbuki uliyoyafanya?
Ni kweli unakumbuka tulipotoka?
Sisemi habari zozote za kusikia
Bali kwa ushahidi niliouona

Msamaha mara ngapi
Umeshaomba na bado?
Je, ni makosa mangapi
Niliyoyafumbia macho?

Mpaka leo nahisi kufika kikomo
Maumivu yanazidi ndani ya moyo
Sitaki kwenda mbali kwani upo moyoni
Nikusamehe mimi mara ngapi we?
Nieleze, mpenzi, mara ngapi?

Unataka nikusamehe mara ngapi? (usihesabu)
Ungependa nikuvumilie mara ngapi? (bila mwisho)
Je, wewe, nikulilie mara ngapi? (vumilia)

Sitoweza (utaweza we)
Nimechoka (usichoke)
Nimeshindwa (usishindwe)
Naondoka (usiondoke mamy)

Sitoweza (tirindi ndindi...)
Nimechoka (mmh mmh mh usichoke)
Nimeshindwa (usishindwe)
Naondoka leo

Ukihesabu ni mara ngapi umenisamehe
Ni kama kuhesabu
Ni mara ngapi mtoto kaharibu nappy
Usichoke, usiondoke, usilie, niko hapa kukulinda

Kama kuna kosa nimewahi fanya (nieleze)
Kama kuna jinsi tunaweza leta (mpatanishi)
Na kama kuna kitendo ningeweza tenda (nieleze)

Nitafanya (fanya)
Nitatenda (tenda)
Ni do do do (fanya)
Nitafanya (tenda)

Nitafanya (fanya)
Nitatenda (tenda)
Nita-do I swear (fanya)
Nitafanya (tenda)

Unataka nikusamehe mara ngapi? (usihesabu)
Ungependa nikuvumilie mara ngapi? (bila mwisho)
Je, wewe, nikulilie mara ngapi? (usilie) (univumilie)

Sitoweza (unaweza)
Nimechoka (usichoke)
Nimeshindwa (usishindwe)
Naondoka (uuh uuh uuh)

Sitoweza (usichoke njoo)
Nimechoka (pimpi parara pimpi)
Nimeshindwa (pampa para rara)
Naondoka leo (para rara pampara)

Usishindwe baby
Nita-do-do-do do-do-do do

โฑ๏ธ Synced Lyrics

[00:02.48] Tutu turu tutu yeah
[00:09.59] Tiru turu tuntu tu
[00:13.86] Tuntu tuntu tuntu
[00:16.24] Tun tiriri tin tiriri
[00:20.13] Ikiwa umeamua kunitoroka
[00:25.55] Ikiwa unahisi kwamba hujisikii nami tena
[00:30.98] Na mbona imekuwa ngumu kunidokeza?
[00:34.85] Naona ni bora nilie leo badala ya kesho
[00:41.40] Kupenda usipendwe
[00:43.58] Ni kama kujitia kitanzi
[00:45.83] Nitachimba na sururu
[00:48.27] Kwa ardhi nikitafuta penzi lako
[00:51.90] Ni heri nipigwe fimbo kwa mwili
[00:55.77] Sababu nitajikuna ama nitajikanda na maji moto
[01:02.79] Maumivu ya penzi mtu hajikuni
[01:06.32] Wala hajikandi na maji, na hakuna upasuaji
[01:14.17] Kama kuna kosa nimewahi fanya (nieleze)
[01:19.81] Kama kuna jinsi tunaweza leta (mpatanishi)
[01:24.96] Na kama kuna kitendo ningeweza tenda (nieleze)
[01:29.64] Nitafanya (fanya)
[01:31.95] Nitatenda (tenda)
[01:34.58] Nitafanya (fanya)
[01:37.27] Nitatenda (tenda)
[01:39.64] Nitafanya nasema (fanya)
[01:42.68] Nitatenda (tenda)
[01:45.28] Nitafanya (fanya)
[01:47.39] Nitatenda (tenda)
[01:49.93] Kweli hukumbuki uliyoyafanya?
[01:56.33] Ni kweli unakumbuka tulipotoka?
[02:01.08] Sisemi habari zozote za kusikia
[02:06.07] Bali kwa ushahidi niliouona
[02:10.83] Msamaha mara ngapi
[02:13.77] Umeshaomba na bado?
[02:16.32] Je, ni makosa mangapi
[02:18.97] Niliyoyafumbia macho?
[02:22.51] Mpaka leo nahisi kufika kikomo
[02:27.17] Maumivu yanazidi ndani ya moyo
[02:31.74] Sitaki kwenda mbali kwani upo moyoni
[02:37.67] Nikusamehe mimi mara ngapi we?
[02:42.37] Nieleze, mpenzi, mara ngapi?
[02:45.61] Unataka nikusamehe mara ngapi? (usihesabu)
[02:49.69] Ungependa nikuvumilie mara ngapi? (bila mwisho)
[02:55.04] Je, wewe, nikulilie mara ngapi? (vumilia)
[02:59.42] Sitoweza (utaweza we)
[03:02.57] Nimechoka (usichoke)
[03:04.93] Nimeshindwa (usishindwe)
[03:07.54] Naondoka (usiondoke mamy)
[03:09.94] Sitoweza (tirindi ndindi...)
[03:12.93] Nimechoka (mmh mmh mh usichoke)
[03:16.39] Nimeshindwa (usishindwe)
[03:18.19] Naondoka leo
[03:20.89] Ukihesabu ni mara ngapi umenisamehe
[03:26.46] Ni kama kuhesabu
[03:28.57] Ni mara ngapi mtoto kaharibu nappy
[03:32.63] Usichoke, usiondoke, usilie, niko hapa kukulinda
[03:41.84] Kama kuna kosa nimewahi fanya (nieleze)
[03:46.45] Kama kuna jinsi tunaweza leta (mpatanishi)
[03:52.03] Na kama kuna kitendo ningeweza tenda (nieleze)
[03:56.88] Nitafanya (fanya)
[03:59.38] Nitatenda (tenda)
[04:01.80] Ni do do do (fanya)
[04:04.14] Nitafanya (tenda)
[04:06.80] Nitafanya (fanya)
[04:09.78] Nitatenda (tenda)
[04:11.86] Nita-do I swear (fanya)
[04:14.58] Nitafanya (tenda)
[04:17.48] Unataka nikusamehe mara ngapi? (usihesabu)
[04:22.64] Ungependa nikuvumilie mara ngapi? (bila mwisho)
[04:27.31] Je, wewe, nikulilie mara ngapi? (usilie) (univumilie)
[04:33.24] Sitoweza (unaweza)
[04:35.40] Nimechoka (usichoke)
[04:37.82] Nimeshindwa (usishindwe)
[04:40.44] Naondoka (uuh uuh uuh)
[04:43.45] Sitoweza (usichoke njoo)
[04:46.14] Nimechoka (pimpi parara pimpi)
[04:48.81] Nimeshindwa (pampa para rara)
[04:51.27] Naondoka leo (para rara pampara)
[04:57.49] Usishindwe baby
[05:03.37] Nita-do-do-do do-do-do do
[05:06.90]

โญ Rate These Lyrics

โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†
Average: 0.0/5 โ€ข 0 ratings