Home ๐ŸŽฌ Bollywood ๐ŸŽต Pakistani ๐ŸŽค English Pop

AMENIWEKA HURU KWELI(SkizaCode 6930218)- PAPI CLEVER & DORCAS Ft MERCI PIANIST : MORNING WORSHIP 146

๐Ÿ‘ค Papi Clever & Dorcas โ€ข ๐ŸŽผ PaPi Clever & Dorcas Official โ€ข โฑ๏ธ 6:38
๐ŸŽต 1596 characters
โฑ๏ธ 6:38 duration
๐Ÿ†” ID: 6774184

๐Ÿ“œ Lyrics

Ameniwaka huru kweli
Naimba sasa "Haleluya"
Kwa msalaba nimepata
Kutoka katika utumwa
Ameniwaka huru kweli
Naimba sasa "Haleluya"
Kwa msalaba nimepata
Kutoka katika utumwa

Nimeokoka, nafurahi
Na dhambi zangu zimetoka
Nataka kumtumikia
Mwokozi wangu siku zote (oh)
Nimeokoka, nafurahi
Na dhambi zangu zimetoka
Nataka kumtumikia
Mwokozi wangu siku zote

Zamani nilifungwa sana
Kwa minyororo ya shetani
Nikamwendea bwana Yesu
Akaniweka huru kweli
Zamani nilifungwa sana
Kwa minyororo ya shetani
Nikamwendea bwana Yesu
Akaniweka huru kweli

Nimeokoka, nafurahi
Na dhambi zangu zimetoka
Nataka kumtumikia
Mwokozi wangu siku zote
Nimeokoka, nafurahi
Na dhambi zangu zimetoka
Nataka kumtumikia
Mwokozi wangu siku zote

Neema kubwa nilipata
Kuacha njia ya mauti
Na nguvu ya wokovu huo
Yanichukua siku zote
Neema kubwa nilipata
Kuacha njia ya mauti
Na nguvu ya wokovu huo
Yanichukua siku zote

Nimeokoka, nafurahi
Na dhambi zangu zimetoka
Nataka kumtumikia
Mwokozi wangu siku zote
Nimeokoka, nafurahi
Na dhambi zangu zimetoka
Nataka kumtumikia
Mwokozi wangu siku zote

Na siku moja nitafika
Mbinguni kwake Mungu wangu
Milele nitamhimidi
Na kumwimbia kwa shukrani
Na siku moja nitafika
Mbinguni kwake Mungu wangu
Milele nitamhimidi
Na kumwimbia kwa shukrani

Nimeokoka, nafurahi
Na dhambi zangu zimetoka
Nataka kumtumikia
Mwokozi wangu siku zote
Nimeokoka, nafurahi
Na dhambi zangu zimetoka
Nataka kumtumikia
Mwokozi wangu siku zote

Nimeokoka, nafurahi
Na dhambi zangu zimetoka
Nataka kumtumikia
Mwokozi wangu siku zote

Nataka kumtumikia
Mwokozi wangu siku zote
Nataka kumtumikia
Mwokozi wangu siku zote

โฑ๏ธ Synced Lyrics

[00:24.82] Ameniwaka huru kweli
[00:29.49] Naimba sasa "Haleluya"
[00:33.70] Kwa msalaba nimepata
[00:38.16] Kutoka katika utumwa
[00:42.46] Ameniwaka huru kweli
[00:46.95] Naimba sasa "Haleluya"
[00:51.25] Kwa msalaba nimepata
[00:55.68] Kutoka katika utumwa
[01:00.22] Nimeokoka, nafurahi
[01:04.33] Na dhambi zangu zimetoka
[01:09.13] Nataka kumtumikia
[01:13.29] Mwokozi wangu siku zote (oh)
[01:17.84] Nimeokoka, nafurahi
[01:22.20] Na dhambi zangu zimetoka
[01:26.63] Nataka kumtumikia
[01:30.93] Mwokozi wangu siku zote
[01:34.91]
[01:48.39] Zamani nilifungwa sana
[01:53.18] Kwa minyororo ya shetani
[01:57.45] Nikamwendea bwana Yesu
[02:01.89] Akaniweka huru kweli
[02:06.03] Zamani nilifungwa sana
[02:10.47] Kwa minyororo ya shetani
[02:15.06] Nikamwendea bwana Yesu
[02:19.46] Akaniweka huru kweli
[02:23.84] Nimeokoka, nafurahi
[02:28.15] Na dhambi zangu zimetoka
[02:32.65] Nataka kumtumikia
[02:36.91] Mwokozi wangu siku zote
[02:41.46] Nimeokoka, nafurahi
[02:45.78] Na dhambi zangu zimetoka
[02:50.21] Nataka kumtumikia
[02:54.69] Mwokozi wangu siku zote
[02:58.88]
[03:12.26] Neema kubwa nilipata
[03:16.52] Kuacha njia ya mauti
[03:20.84] Na nguvu ya wokovu huo
[03:25.32] Yanichukua siku zote
[03:29.77] Neema kubwa nilipata
[03:33.99] Kuacha njia ya mauti
[03:38.30] Na nguvu ya wokovu huo
[03:42.80] Yanichukua siku zote
[03:47.23] Nimeokoka, nafurahi
[03:51.54] Na dhambi zangu zimetoka
[03:55.98] Nataka kumtumikia
[04:00.25] Mwokozi wangu siku zote
[04:04.54] Nimeokoka, nafurahi
[04:08.91] Na dhambi zangu zimetoka
[04:13.39] Nataka kumtumikia
[04:17.63] Mwokozi wangu siku zote
[04:21.84]
[04:39.49] Na siku moja nitafika
[04:43.86] Mbinguni kwake Mungu wangu
[04:48.12] Milele nitamhimidi
[04:52.52] Na kumwimbia kwa shukrani
[04:57.02] Na siku moja nitafika
[05:01.19] Mbinguni kwake Mungu wangu
[05:05.58] Milele nitamhimidi
[05:10.25] Na kumwimbia kwa shukrani
[05:14.64] Nimeokoka, nafurahi
[05:18.72] Na dhambi zangu zimetoka
[05:23.25] Nataka kumtumikia
[05:27.40] Mwokozi wangu siku zote
[05:32.08] Nimeokoka, nafurahi
[05:36.46] Na dhambi zangu zimetoka
[05:40.68] Nataka kumtumikia
[05:44.94] Mwokozi wangu siku zote
[05:49.38] Nimeokoka, nafurahi
[05:53.62] Na dhambi zangu zimetoka
[05:58.15] Nataka kumtumikia
[06:02.36] Mwokozi wangu siku zote
[06:06.62] Nataka kumtumikia
[06:10.96] Mwokozi wangu siku zote
[06:15.26] Nataka kumtumikia
[06:19.44] Mwokozi wangu siku zote
[06:22.88]

โญ Rate These Lyrics

โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†
Average: 0.0/5 โ€ข 0 ratings