Dunia Tuna Pita
๐ต 522 characters
โฑ๏ธ 5:16 duration
๐ ID: 7781747
๐ Lyrics
Kila kitu ufanyayo lazima yapitie kwa wanganga
Badilisha hiyo tabia eeeh X2
Pesa zako hupatia kina dada, watafuta jina ama vipiii X2
Wake za watu umetongoza imejulikana
Jihadhari utaishia Shimo la Tewaa X2
Waongea kuhusu kujenga ghorofa na huna kitu eeh
Acha mdomo na maringo kakaa
Dunia tunapita eeh
Kila kitu kitabakia
Binadamu ni mchanga, kitabaki milele
Waroga roga watu papa buree
Waumiza waafrika wenzako kwa nini
Madaraka wapigania, kampuni sio yako wala yake, ni ya muzungu baba.
Wapee haki zaoo, wana matumizi pia
Badilisha hiyo tabia eeeh X2
Pesa zako hupatia kina dada, watafuta jina ama vipiii X2
Wake za watu umetongoza imejulikana
Jihadhari utaishia Shimo la Tewaa X2
Waongea kuhusu kujenga ghorofa na huna kitu eeh
Acha mdomo na maringo kakaa
Dunia tunapita eeh
Kila kitu kitabakia
Binadamu ni mchanga, kitabaki milele
Waroga roga watu papa buree
Waumiza waafrika wenzako kwa nini
Madaraka wapigania, kampuni sio yako wala yake, ni ya muzungu baba.
Wapee haki zaoo, wana matumizi pia
โฑ๏ธ Synced Lyrics
[00:07.56] Kila kitu ufanyayo lazima yapitie kwa wanganga
[00:16.29] Badilisha hiyo tabia eeeh X2
[00:31.02] Pesa zako hupatia kina dada, watafuta jina ama vipiii X2
[00:51.48] Wake za watu umetongoza imejulikana
[01:00.18] Jihadhari utaishia Shimo la Tewaa X2
[01:15.86] Waongea kuhusu kujenga ghorofa na huna kitu eeh
[01:22.93] Acha mdomo na maringo kakaa
[01:32.93] Dunia tunapita eeh
[01:41.24] Kila kitu kitabakia
[01:45.47] Binadamu ni mchanga, kitabaki milele
[02:18.45] Waroga roga watu papa buree
[02:23.09] Waumiza waafrika wenzako kwa nini
[02:27.88] Madaraka wapigania, kampuni sio yako wala yake, ni ya muzungu baba.
[02:39.13] Wapee haki zaoo, wana matumizi pia
[02:47.56]
[00:16.29] Badilisha hiyo tabia eeeh X2
[00:31.02] Pesa zako hupatia kina dada, watafuta jina ama vipiii X2
[00:51.48] Wake za watu umetongoza imejulikana
[01:00.18] Jihadhari utaishia Shimo la Tewaa X2
[01:15.86] Waongea kuhusu kujenga ghorofa na huna kitu eeh
[01:22.93] Acha mdomo na maringo kakaa
[01:32.93] Dunia tunapita eeh
[01:41.24] Kila kitu kitabakia
[01:45.47] Binadamu ni mchanga, kitabaki milele
[02:18.45] Waroga roga watu papa buree
[02:23.09] Waumiza waafrika wenzako kwa nini
[02:27.88] Madaraka wapigania, kampuni sio yako wala yake, ni ya muzungu baba.
[02:39.13] Wapee haki zaoo, wana matumizi pia
[02:47.56]