Home ๐ŸŽฌ Bollywood ๐ŸŽต Pakistani ๐ŸŽค English Pop

Make A Stage (M.A.S)

๐Ÿ‘ค Fay-Ann Lyons โ€ข ๐ŸŽผ Soca Gold 2007 โ€ข โฑ๏ธ 3:55
๐ŸŽต 1410 characters
โฑ๏ธ 3:55 duration
๐Ÿ†” ID: 7861124

๐Ÿ“œ Lyrics

(Lenny):
All I Need Is An Honest Love...
All I Need Is An Honest Love...
Nishamaliza, Ku Randa Randa,
Nishamaliza, Ku Randa Randa,
Oh, Oh, Oh,
Oh, Oh, Oh,
Oh, Oh, Oh,
(Naimetoka Grandpa)
Oh, Oh, Oh,

1(Lenny):
Nilikuwa Kijana Mmoja Machachari Mwenye,
Mwenye Kupenda Raha,
Na Sikudhani Ya Kwamaba Nitaja Kutilulia,
Nianze Familia,
Lakini Sasa Nimegundua Ya Kwamba,
Hayo Yote Ni Muda,
Tena Sasa Nimechanuka Na,
Nimeshatulia,

(Lenny):
All I Need, Is An Honest Love(Honest Love)
All I Need, Is An Honest Love(Honest Love)
Nishamaliza, Ku Randa Randa(Randa Randa)
Nishamaliza, Ku Randa Randa(Randa Randa)
Oh, Oh, Oh, Oh, Oh, Oh,
Oh, Oh, Oh, Oh, Oh, Oh,(*2)

2(Lenny):
Oooh Niliona Mabinti Wa Kila Aina, Aina,
Nikachanganyikiwa,
Nikawacheza Sana, Nikavunja Roho Zao,
Bila Kuzingatia,
Lakini Sasa Nimepata Mwenza Wangu,
Nimejinyakulia,
Tena Sasa Nimechanuka Na, Nimeshatulia,

...

3(V6):
Mmmmmh, Damn!! Vile Nafeel Baby,
Usije Ukanifanya Kichaa,
Alafu, Uuuhh, Vile Unakaa Baby,
Lazima Nikupige Picha,
Okay, Penye Miti, Ndio Penye Kivuli,
Karibianga Shika Miti Kama Mavuli,
Oooh Yeah, Hao Wengine Wacha Wasengenyane,
Tucheze Futaa Tuki Kadengeane,
Si Basi Madem Hawana Tabia Ni Shameless,
Kitambo Nikupate, Waliniacha Cashless,
But Usijali Baby Nimerudi Ki Kamlesh,
Na Ushanipa Juju Ki Lenny Na Nameless,
All I Need Is A Wonderful Girl,
With A Beautiful Heart,
Yes Girl I Need A Wife,
And You Are... All I Need.

...

โญ Rate These Lyrics

โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†โ˜†
Average: 0.0/5 โ€ข 0 ratings