Lonely
๐ต 1455 characters
โฑ๏ธ 3:29 duration
๐ ID: 9740217
๐ Lyrics
(Aaah aaah aaah aaah)
Iwe kwa gongo
Ama kwa panga shoka
Penzi nimelitupa mbali
Hani mwa ongo moyo umepachuka
Imenisurubu dhohari
Te, te, te, mi najongea
Kwenye ulingo wa mapenzi
Nakimbia
Zote kwa zote najiengua
Chapter ya mapenzi nimefunga
Oh maido, oh maido
Ulinipa amani penzi kisado
Nikawa na imani mengi madoido
Nikijua mimi napendwa
Nikavimba kichwa
Aah maido
Nayaweka kando ma kando kando
Imenichosha mingi misondo
Hii safari nimemaliza mwendo
Aaah taratibu
Gonjwa langu lishapata tabibu
Nime dabwalika sipati taabu
Ooh taabu uhh
Maajabu, nimezoea wala sina ghadhabu
Ka moyo twika kana feel hii vibe
I don't know, I don't know
Ila, I'm so lonely
I'm so lonely, I don't know
Ila na enjoy kuwa lonely
I'm so lonely
I don't know ila na enjoy kuwa lonely
(Aaah aaah aaah aaah)
Oh, bartender give me one shoti
Ninywe kamnyweso hadi nishike magoti
Nipo free to be single so sweet
Niko free to be single so sweety
Aaah mashallah
Yalishapona majeraha
Roho kwatu imejaa furaha
Kufa kwaja nakula raha
Aaah taratibu
Gonjwa langu lishapata tabibu
Nime dabwalika sipati taabu
Ooh taabu uhh
Maajabu, nimezoea wala sina ghadhabu
Ka moyo twika kana feel hii vibe
I don't know, I don't know
Ila, I'm so lonely
I'm so lonely, I don't know
Ila na enjoy kuwa lonely
I'm so lonely
I don't know ila na enjoy kuwa lonely
Aaah mashallah
Yalishapona majeraha
Roho kwatu imejaa furaha
Kufa kwaja naponda raha aaah
I'm so lonely
I don't know ila na enjoy kuwa lonely
Iwe kwa gongo
Ama kwa panga shoka
Penzi nimelitupa mbali
Hani mwa ongo moyo umepachuka
Imenisurubu dhohari
Te, te, te, mi najongea
Kwenye ulingo wa mapenzi
Nakimbia
Zote kwa zote najiengua
Chapter ya mapenzi nimefunga
Oh maido, oh maido
Ulinipa amani penzi kisado
Nikawa na imani mengi madoido
Nikijua mimi napendwa
Nikavimba kichwa
Aah maido
Nayaweka kando ma kando kando
Imenichosha mingi misondo
Hii safari nimemaliza mwendo
Aaah taratibu
Gonjwa langu lishapata tabibu
Nime dabwalika sipati taabu
Ooh taabu uhh
Maajabu, nimezoea wala sina ghadhabu
Ka moyo twika kana feel hii vibe
I don't know, I don't know
Ila, I'm so lonely
I'm so lonely, I don't know
Ila na enjoy kuwa lonely
I'm so lonely
I don't know ila na enjoy kuwa lonely
(Aaah aaah aaah aaah)
Oh, bartender give me one shoti
Ninywe kamnyweso hadi nishike magoti
Nipo free to be single so sweet
Niko free to be single so sweety
Aaah mashallah
Yalishapona majeraha
Roho kwatu imejaa furaha
Kufa kwaja nakula raha
Aaah taratibu
Gonjwa langu lishapata tabibu
Nime dabwalika sipati taabu
Ooh taabu uhh
Maajabu, nimezoea wala sina ghadhabu
Ka moyo twika kana feel hii vibe
I don't know, I don't know
Ila, I'm so lonely
I'm so lonely, I don't know
Ila na enjoy kuwa lonely
I'm so lonely
I don't know ila na enjoy kuwa lonely
Aaah mashallah
Yalishapona majeraha
Roho kwatu imejaa furaha
Kufa kwaja naponda raha aaah
I'm so lonely
I don't know ila na enjoy kuwa lonely