Give Up
๐ต 1378 characters
โฑ๏ธ 2:55 duration
๐ ID: 9894401
๐ Lyrics
Nimeshagongwa na nyoka
Ndo maana naogopa
Hata nikiguswa na jani
Huko nilipotoka
Mwanzo nilishasota
Kutafuta amani
Wala sio kwamba
Sikufikiriiii nakuwazaga
Tena sio kwamba sikupendi
Nakupendaga (aahh)
Ila kwenye haya mambo
Ya malavi davi
Mwenzako nisha give up
Oooh give up! Oooh give up!
Na kwenye haya mambo
Si ya kupendana
Mwenzako nisha give up
Oooh give up! Oooh give up!
I think about money (eeehhhh)
Ndo inanipa furaha
Ukitaka tuelewane (eeeehhh)
Labda uje na chapaaa (aahhh)
Nakuangalia kwenye macho nakuvaa
Nakuona ndani ya moyo wako
Hauna furaha
Hauna imani na mapenzi umejikataa
Umemaliza kucha kwako kujikwaa jikwaa
Huwezi niambie utabakia single
You have no idea mi maji ya shingo
Siko hapa Lindo sina hiyo mitindo
Jackpot bingo penzi la kishindo
Ushakutana na washenzi hawaeleweki
Wacha nikupe mapenzi kudadadeki
Wacha nikupe nafasi ya kujiona keki
We malkia unahitaji kitu cha kuketi
Furaha inatibika mambo yanabadilika
Mi Mwenzako tika tika
Niko misitu na nyika
Niko kiangazi masika
Nitapilika pilika na weee
You need love baby girl
Mapenzi ni dawa
Ila kwenye haya mambo
Ya malavi davi
Mwenzako nisha give up
Oooh give up! Oooh give up!
Na kwenye haya mambo
Si ya kupendana
Mwenzako nisha give up
Oooh give up! Oooh give up!
I think about money (eeehhhh)
Ndo inanipa furaha
Ukitaka tuelewane (eeeehhh)
Labda uje na chapaaa (aahhh)
The Mix killer!
Ndo maana naogopa
Hata nikiguswa na jani
Huko nilipotoka
Mwanzo nilishasota
Kutafuta amani
Wala sio kwamba
Sikufikiriiii nakuwazaga
Tena sio kwamba sikupendi
Nakupendaga (aahh)
Ila kwenye haya mambo
Ya malavi davi
Mwenzako nisha give up
Oooh give up! Oooh give up!
Na kwenye haya mambo
Si ya kupendana
Mwenzako nisha give up
Oooh give up! Oooh give up!
I think about money (eeehhhh)
Ndo inanipa furaha
Ukitaka tuelewane (eeeehhh)
Labda uje na chapaaa (aahhh)
Nakuangalia kwenye macho nakuvaa
Nakuona ndani ya moyo wako
Hauna furaha
Hauna imani na mapenzi umejikataa
Umemaliza kucha kwako kujikwaa jikwaa
Huwezi niambie utabakia single
You have no idea mi maji ya shingo
Siko hapa Lindo sina hiyo mitindo
Jackpot bingo penzi la kishindo
Ushakutana na washenzi hawaeleweki
Wacha nikupe mapenzi kudadadeki
Wacha nikupe nafasi ya kujiona keki
We malkia unahitaji kitu cha kuketi
Furaha inatibika mambo yanabadilika
Mi Mwenzako tika tika
Niko misitu na nyika
Niko kiangazi masika
Nitapilika pilika na weee
You need love baby girl
Mapenzi ni dawa
Ila kwenye haya mambo
Ya malavi davi
Mwenzako nisha give up
Oooh give up! Oooh give up!
Na kwenye haya mambo
Si ya kupendana
Mwenzako nisha give up
Oooh give up! Oooh give up!
I think about money (eeehhhh)
Ndo inanipa furaha
Ukitaka tuelewane (eeeehhh)
Labda uje na chapaaa (aahhh)
The Mix killer!